SportsWAZIRI WA FEDHA ATHIBITISHA KUTUMIKA KWA VAR KWENYE LIGI KUU Saleh3 weeks ago01 mins Akisoma Bajeti ya Fedha 2024/25 Waziri Wa Fedha Dr. Mwigulu Lameck Nchemba amethibitisha kutumika kwa VAR kwenye Ligi kuu lakini pia ameomba kusiwepo na Kodi Kwa vifaa vya VAR. Post navigation Previous: JEMBE AIKOSOA BAJETI YA YANGA NA KUTOA USHAURI KWA VIONGOZI NA WANACHAMANext: LIVE BUNGENI: WAZIRI MWGULU ANAWASILISHA MAKADIRIO NA MATUMIZI YA BAJETI KUU YA SERIKALI 2024/2025
SMS ya MWISHO ya MANJI KWA SALEH JEMBE – ”ALINIAMBIA ANAAMINI YANGA ILIPOFIKA NI SABABU YAKE”… Saleh8 hours ago 0