LEGEND Jembe amezungumzia suala la mapato na matumizi ya Yanga, mapato na matumizi pamoja na deni ambalo lipo kwa Yanga huku akibainisha kuwa sio jambo zuri lakini mafanikio yamepatikana. Jembe amebainisha kuwa kuna haja ya kuziendesha timu kwa mfumo wa biashara ambacho kinapaswa kurekebishwa na zikifanyiwa kazi zitawapa faida Yanga.
Tottenham Hotspur forward Dominic Solanke battles with Crystal Palace defender Maxence Lacroix during the English championship Premier League football match between Crystal Palace and Tottenham Hotspur on 27 October 2024 at Selhurst Park in London, England - Photo Ian Stephen / ProSportsImages / DPPI (Photo by IAN STEPHEN / ProSportsImages / DPPI via AFP)