Skip to content
Sunday, July 26, 2026
  • Joshua Aibuka Shujaa, Amwangusha Prenga Baada ya Kuanza Vibaya
  • Cheza Ushinde! Meridianbet Yatoa Simu 3 za Samsung Galaxy A26 Kwa Washindi
  • Meridianbet Yaleta Mpya Kwa Kuidhamini UFC Fight Night Belgrade
  • Haaland, Guardiola na Maldini Washuhudia Harusi ya Donnarumma Italia

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Joshua Aibuka Shujaa, Amwangusha Prenga Baada ya Kuanza Vibaya
  • Cheza Ushinde! Meridianbet Yatoa Simu 3 za Samsung Galaxy A26 Kwa Washindi
  • Meridianbet Yaleta Mpya Kwa Kuidhamini UFC Fight Night Belgrade
  • Haaland, Guardiola na Maldini Washuhudia Harusi ya Donnarumma Italia

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2026
  • July
  • 26

July 26, 2026

  • Sports

Joshua Aibuka Shujaa, Amwangusha Prenga Baada ya Kuanza Vibaya

Saleh2 hours ago02 mins

Bingwa wa zamani wa dunia mara mbili katika uzani wa juu, Anthony Joshua, alionyesha moyo wa kipekee baada ya kuinuka mara mbili kutoka chini na kumchapa kwa mtoano (TKO) mpinzani wake Kristian Prenga katika raundi ya pili ya pambano lisilo la ubingwa lililofanyika usiku wa kuamkia leo Jumapili Julai 26, 2026 mjini Jeddah. Joshua, ambaye…

Read More
  • Entertainment

Cheza Ushinde! Meridianbet Yatoa Simu 3 za Samsung Galaxy A26 Kwa Washindi

Saleh2 hours ago02 mins

Meridianbet inakuletea promosheni ya ajabu ambapo unaweza kushinda moja kati ya simu tatu mpya kabisa za Samsung Galaxy A26. Jisajili tu kwenye app au tovuti ya Meridianbet, weka dau, na uwe miongoni mwa watakaochaguliwa kama washindi wa simu hizi za kisasa kila mwisho wa wiki. Hapa burudani inakutana na zawadi. Haijalishi unapenda michezo ya kasino…

Read More
  • Sports

Meridianbet Yaleta Mpya Kwa Kuidhamini UFC Fight Night Belgrade

Saleh15 hours ago2 hours ago02 mins

Meridianbet inatimiza miaka 25 kwa staili ya kipekee, kudhamini pambano la kwanza la UFC kufanyika Serbia, UFC Fight Night Belgrade, tarehe 01 mwezi wa 08. Hii ni zawadi kwa vijana na mashabiki wa michezo, tukio la kihistoria linaloleta msisimko wa dunia moja kwa moja Ulaya Mashariki. Kwa udhamini huu, Meridianbet imeweka rekodi mpya. Ni hatua…

Read More
Newsmatic - News WordPress Theme 2026. Powered By BlazeThemes.