Ujerumani Yafanya Comeback Ya Kibabe dhidi ya Ivory Coast , Yatinga 32 Bora Kombe La Dunia
Timu ya Taifa ya Ujerumani usiku wa kuamkia leo Juni 21, 2026 imefuzu hatua ya mtoano ya Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza tangu ilipotwaa ubingwa mwaka 2014 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Ivory Coast katika mchezo mkali wa Kundi E uliochezwa jijini Toronto. Shujaa wa Ujerumani alikuwa mshambuliaji…