Yanga SC hesabu kubwa kwenye CRDB Federation Cup
UONGOZI wa Yanga SC umebainisha kuwa dhamira kubwa iliyopo kwa sasa ni kupambana kulitetea taji la CRDB Federation Cup wakiwa wapo hatua ya nusu fainali. Juni 21, 2026 Yanga SC itashuka Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza kusaka tiketi kutinga hatua ya fainali dhidi ya Azam FC, mshindi kwenye mchezo huu atakutana na Simba SC, hatua…