Skip to content
Thursday, June 11, 2026
  • Macho Yote Kwenye Mechi ya Ufunguzi, Mexico vs Afrika Kusini Kombe la Dunia 2026
  • Infantino Aeleza Sababu ya Mwamuzi wa Somalia Kuzuiwa Marekani
  • Hassan Mwakinyo Apoteza Kwa TKO Dhidi ya Michel Soro
  • Furahia Michezo ya Kisasa ya Kasino Kupitia EGT Digital

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Macho Yote Kwenye Mechi ya Ufunguzi, Mexico vs Afrika Kusini Kombe la Dunia 2026
  • Infantino Aeleza Sababu ya Mwamuzi wa Somalia Kuzuiwa Marekani
  • Hassan Mwakinyo Apoteza Kwa TKO Dhidi ya Michel Soro
  • Furahia Michezo ya Kisasa ya Kasino Kupitia EGT Digital

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2026
  • June
  • 11

June 11, 2026

  • International
  • Sports

Macho Yote Kwenye Mechi ya Ufunguzi, Mexico vs Afrika Kusini Kombe la Dunia 2026

Saleh37 minutes ago02 mins

Mechi ya ufunguzi inatarajiwa kuwa ya kipekee kabisa ambapo wenyeji wa mashindano haya Mexico watauamana vikali dhidi ya Afrika Kusini ambao hawapewa nafasi kubwa ya kushinda?. Nani kuondoka na pointi 3 leo? Kwenye mechi hii ya ufunguzi wa michuano mikubwa Duniani kati ya Mexico na Afrika Kusini utakaopigwa Alhamisi ya leo ni mchezo ambao utakuwa…

Read More
  • International
  • Sports

Infantino Aeleza Sababu ya Mwamuzi wa Somalia Kuzuiwa Marekani

Saleh3 hours ago02 mins

Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), Gianni Infantino, amesema ni jambo la kusikitisha kwa mwamuzi wa Somalia, Omar Artan, kunyimwa ruhusa ya kuingia nchini Marekani licha ya kuwa alikuwa amepangiwa kushiriki katika michuano ya Kombe la Dunia. Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari kabla ya kuanza kwa mashindano hayo, Infantino alisema FIFA imeguswa…

Read More
  • International
  • Sports

Hassan Mwakinyo Apoteza Kwa TKO Dhidi ya Michel Soro

Saleh6 hours ago2 hours ago01 mins

Usiku wa kuamkia leo, mambo hayakwenda vizuri kwa bondia Hassan Mwakinyo aliyekuwa akiipeperusha bendera ya Tanzania, Abidjan, Ivory Coast kwa kuzipiga na bondia Michel Soro mwenye uraia pacha wa Ivory Coast na Ufaransa. Mwakinyo alipoteza kwa TKO katika raundi ya tisa kwenye pambano la uzito wa Middleweight la raundi 12 na kushindwa kubeba mkanda wa…

Read More
  • Entertainment

Furahia Michezo ya Kisasa ya Kasino Kupitia EGT Digital

Saleh8 hours ago16 minutes ago01 mins

Meridianbet inaendelea kuwaletea vijana burudani bora zaidi kwa kushirikiana na EGT Digital, moja ya majina yanayoongoza kwenye ulimwengu wa michezo ya kasino ya kidigitali. Sasa ni rahisi zaidi kufurahia michezo yenye ubora wa hali ya juu ukiwa popote. Kilichofanya EGT Digital kuwa tofauti ni uwezo wake wa kuunganisha teknolojia ya kisasa na burudani inayovutia. Michezo…

Read More
Newsmatic - News WordPress Theme 2026. Powered By BlazeThemes.