Iraola Awasili Liverpool kwa Matarajio Makubwa, Rekodi Yake Ya Kibabe
Liverpool imemtangaza rasmi Andoni Iraola kama kocha mkuu mpya wa klabu hiyo, akichukua nafasi ya Arne Slot ambaye aliondoka hivi karibuni kufuatia msimu mmoja tu tangu kushinda ubingwa wa 20 wa ligi kuu ya England. Kocha huyo wa zamani wa Bournemouth amesaini mkataba wa miaka miwili Anfield, hatua inayozua mjadala mkubwa miongoni mwa mashabiki wa…