Yanga SC yaipigia hesabu JKT Tanzania

JKT Tanzania vs Yanga SC ni leo Mei 16, 2026 hatua ya robo fainali kwa wababe wawili kusaka tiketi kutinga hatua ya nusu fainali. Mchezo huu unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Meja Jeneral Isahmuyo saa 12:30 jioni mshindi atakata tiketi moja kwa moja hatua inayofuata na atakayepoteza mwendo atakuwa amemaliza mpaka wakati ujao 2027. Kocha Mkuu…

Read More

Coastal Union yaitisha Singida Black Stars

Coastal Union yatisha Singida Black Stars kuelekea kwenye mchezo wa hatua ya robo fainali CRDB Federation Cup leo Mei 16, 2026. Ni Coastal Union vs Siginda Black Stars mchezo mkali unaotarajiwa kuchezwa saa 10 jioni kwa wababe hawa kusaka tiketi kutinga hatua ya nusu fainali. Mabingwa watetezi wa taji hili ni Yanga SC ambao watashuka…

Read More