Yanga SC na GSM Waingia Ubia Mkubwa wa Ujenzi wa Uwanja – Video
Uongozi wa klabu ya Young Africans Sports Club (Yanga SC) imetangaza rasmi kuingia katika hatua mpya ya kihistoria ya ujenzi wa uwanja wake binafsi, ndoto ambayo imekuwa ikiota mizizi kwa takribani miaka 90 ya historia ya klabu hiyo. Akizungumza kuhusu mradi huo, Mwenyekiti wa klabu hiyo Eng. Hersi Ally Said amesema uongozi na wanachama wa…