Kagoma, Kibabage kuikosa Kariakoo Dabi?

NYOTA wa Simba SC Nikson Kibabage, Anicent Oura na Yusuph Kagoma uwezekano wa kuikosa Kariakoo Dabi kesho ni mdogo kulingana na maendeleao yao kuzidi kuwa imara. Awali wachezaji hao walileta mshtuko kutokana na maumivu ambayo walipata kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi, Muungano Cup 2026 dhidi ya Yanga SC, Uwanja wa New Amaan Complex. Ahmed Ally,…

Read More

Kitawaka Kesho Jumapili Manchester United vs Liverpool, Vita ya kufuzu Ligi ya Mabingwa

Manchester United vs Liverpool inatarajiwa kuwa moja ya mechi kubwa zaidi ya msimu, huku pande zote mbili zikiwania nafasi muhimu ya kufuzu Ligi ya Mabingwa Ulaya. Manchester United wanahitaji pointi mbili pekee kuhakikisha wanamaliza katika nafasi ya juu inayowapa tiketi ya Ulaya. Kwa sasa wako nafasi ya tatu, wakiwa mbele ya wapinzani wao kwa pointi…

Read More

Fanya Bahati Yako Kuzaa Matunda: Bashiri na Drops & Wins ya Meridianbet

Mchezo kwa sasa umebadilika, na Meridianbet wameleta shangwe mpya kabisa kupitia Drops & Wins ya Pragmatic Play. Hii sio promosheni ya kawaida, ni nafasi kwa vijana wanaopenda burudani na changamoto kugeuza muda wao kuwa ushindi halisi. Unacheza, unafurahia, na hapohapo una nafasi ya kuondoka na mkwanja. Kuingia kwenye mchezo ni rahisi sana. Jisajili Meridianbet, nenda…

Read More