Simba SC: Mpanzu bado ana mkataba

UONGOZI wa Simba SC umebainisha kuwa mchezaji Ellie Mpanzu bado ana mkataba na Simba SC ambao hajaanza kuutumikia na ule wa awali haujaisha hivyo hawezi kugoma kwa kudai stahiki zake. Tetesi zimekuwa zikieleza kuwa Mpanzu amegoma kucheza Simba SC mpaka alipwe stahiki zake za mkataba mpya wa miaka miwili aliyoongeza hivi karibuni. Hakuwa kwenye kikosi…

Read More

Mbeya City wapindua meza mbele ya KMC FC

MBEYA City hawataki utani baada ya kupindua meza kibabe mbele ya KMC FC katika mchezo wa NBC Premier League, Aprili 3, 2026, Uwanja wa Tanzanite Kwaraa, Manyara. Licha ya KMC FC kuanza kufunga magoli kwenye mchezo huo uliokuwa na ushindani mkubwa walikwama kulinda ushindi huo na mwisho ubao ukasoma Mbeya City 3-2 KMC FC wakipishana…

Read More

Hii hapa ratiba ya NBC Premier League leo

LEO Aprili 4 NBC Premier League burudani inaendelea zikipigwa mechi tatu kubwa kwa wababe kusaka pointi 3 muhimu uwanjani. Aprili 4, 2026 Mashujaa FC vs Pamba Jiji Lake Tanganyika, saa 10:00 jioni Mashujaa FC kwenye msimamo ipo nafasi ya 11 na pointi zake ni 19 inawakaribisha Pamba Jiji FC walio nafasi ya 5 na pointi…

Read More

Zesco United Yasimamishwa Kushiriki Ligi Kuu Zambia

Klabu ya Zesco United FC imesimamishwa kushiriki katika Ligi Kuu ya Zambia, baada ya klabu hiyo kupeleka mgogoro unaohusiana na masuala ya soka katika Mahakama za kawaida, jambo ambalo linakiuka kanuni za uendeshaji wa soka zinazotaka migogoro ya aina hiyo kushughulikiwa ndani ya vyombo vya soka pekee. Kutokana na kusimamishwa huko, mechi zote za ligi…

Read More

Yanga SC vs Tanzania Prisons, Aprili 4, 2026

Yanga SC vs Tanzania Prisons, Aprili 4, 2026 ni mchezo unaofuata katika ratiba ya NBC Premier League kwa vinara 2025/26. Baada ya mapumziko ya FIFA ni mzunguko wa 18 unaendelea katika ligi namba nne kwa ubora Afrika. Saa 12:30 Yanga SC watakuwa Uwanja wa KMC Complex kuwakabili Tanzania Prisons kutoka Mbeya katika msako wa pointi…

Read More

Takwimu za mchezo kati ya Simba SC vs Coastal Union

Simba SC 2-0 Coastal Union ni matokeo rasmi katika mchezo wa kiporo uliochezwa Aprili 2, 2026 Uwanja wa Meja Jeneral Isahmuyo. Wenyeji walivuna pointi 3 kwa magoli yaliyofungwa kipindi cha kwanza huku Neo Maema ambaye alionyeshwa kadi ya njano dakika 90 akichaguliwa kuwa mchezaji bora wa mchezo huo. Hapa tumekusogezea takwimu za mchezo namna hii:-…

Read More

Neo Maema amepewa tuzo na kuonyeshwa kadi

NEO Maema amesema kuwa tuzo ambayo amepata katika mchezo wa NBC Premier League vs Coastal Union ni maalumu kwa mashabiki kutokana na uwepo wao kila mahali. Aprili 2,2026 ubao wa Uwanja wa Meja Jeneral Isamuhyo ulisoma Simba SC 2-0 Coastal Union baada ya dakika 90 kukamilika. Magoli yalifungwa na Seleman Mwalimu dakika ya 25 kwa…

Read More

Prince Dube amerejea kazini

PRINCE Dube mshambuliaji wa Yanga SC amerejea kazini mara baada ya kukosekana kwa muda kutokana na kutokuwa fiti. Dube ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Pedro Goncalves alikosekana kwenye mchezo wa ligi vs Mtibwa Sugar uliochezwa Uwanja wa Jamhuri, Dodoma. Katika mchezo huo mabingwa watetezi waligawana pointi mojamoja na Mtibwa Sugar ubao uliposoma Mtibwa…

Read More

Leo ratiba ya NBC Premier League

Leo Aprili 3, 2026 kuna mechi mbili kali zinatarajiwa kuchezwa ikiwa ni mzunguko wa 18 katika msako wa pointi tatu muhimu. Aprili 3,2026 Dodoma Jiji FC vs Fountain Gate Airtel, Singida saa 08:00 mchana Dodoma Jiji FC kwenye msimamo ipo nafasi ya 9 ikiwa na pointi 21 baada ya mechi 17 inakabiliana na Fountain Gate…

Read More

Usikae Kinyonge! Mchongo wa Pesa Upo Hapa Big Bounty Challenge

Kuna wale wanaocheza na kuna wale wanaoshinda. Wewe unataka kuwa upande gani? Meridianbet imefungua mlango wa mafanikio kupitia Big Bounty Challenge, mashindano yanayokupa nafasi ya kubadili kila mchezo kuwa nafasi ya kuingia kwenye orodha ya washindi wakubwa. Kupitia jedwali la uongozi la Games Global, kila mzunguko unaochukua unakusogeza karibu zaidi na kilele. Hapa hakuna mchezo…

Read More

Simba SC Yagonga Mwamba Kesi ya Camara

Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya TFF imetupa shauri lililowasilishwa na Simba SC kuhusu uhalali wa usajili wa mchezaji Mohamed Damaro Camara. Kwa mujibu wa uamuzi huo, kamati hiyo imeona kuwa hoja zilizowasilishwa hazina uzito wa kisheria au ushahidi wa kutosha kuweza kuthibitisha madai yaliyokuwa yakitolewa na klabu hiyo. Shauri hilo lilikuwa likihusu…

Read More