Takwimu za magoli na wafungaji Muungano CUP 2026

LEO ni leo Muungano Cup Fainali, saa 2:15 usiku Uwanja wa New Amaan Complex, Yanga SC vs Simba SC huku kila timu ikivutia kwake kombe. Mabingwa watetezi ni Yanga SC walitwaa taji hilo 2025 je nani atakuwa bingwa leo? Matokeo yatajulikana kwa kuwa hakuna kujivunja. Hapa tunakuletea takwimu za magoli na wafungaji namna hii:- Takwimu…

Read More