Bayern Munich vs PSG: Mechi ya Maajabu Yamalizika kwa Ushindi wa 5-4 kwa Wenyeji
Mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, Paris Saint-Germain (PSG), wameanza utetezi wao wa kombe lao kwa ushindi wa kifasaha wa 5-4 dhidi ya Bayern Munich katika mchezo wa mkondo wa kwanza wa nusu fainali, uliofanyika kwenye dimba la Parc des Princes. Mechi hii ilikutanisha timu bora kabisa kwa sasa duniani, na hakukukosekana michezo ya…