Singida Black Stars Wasukumizwa Nje ya CAFCC Baada ya Kifungwa 1-0 na CR Belouizdad
Wawakilishi wa Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC) wamesukumizwa nje ya michuano hiyo kufuatia kipigo cha 1-0 dhidi ya Sead Ramovic na vijana wake wa CR Belouizdad katika dimba la New Amaan Complex, Zanzibar kwenye mchezo wa kundi C wa CAFCC. 𝐅𝐓: 𝐒𝐢𝐧𝐠𝐢𝐝𝐚 𝐁𝐥𝐚𝐜𝐤 𝐒𝐭𝐚𝐫𝐬 🇹🇿 𝟎-𝟏 🇩🇿 𝐂𝐑 𝐁𝐞𝐥𝐨𝐮𝐢𝐳𝐝𝐚𝐝 ⚽ 03’ Belhocini 𝑀𝑆𝐼𝑀𝐴𝑀𝑂…