Simba SC yamtaka kocha Yanga SC

INAELEZWA kuwa mabosi wa Simba SC wapo na hesabu za kumpa kazi Miguel Gamondi ambaye kwa sasa ni Kocha Mkuu wa Singida Black Stars. Inaelezwa kuwa Simba SC mara baada ya Fadlu Davids kubwaga manyanga walianza kufikiria kupata huduma ya Gamondi ambaye aliwahi kuinoa Yanga SC na kuipa ubingwa. Uzoefu wake kwenye soka la Afrika…

Read More

UEFA Champions League, Ni Burudani Tupu Usiku Huu

Usiku wa leo, anga la soka barani Ulaya linawaka moto wa ushindani, huku UEFA Champions League ikirudi tena na msimu mwingine wa mechi tisa za kuvutia. Mashabiki wa Meridianbet na wapenda kubashiri wanatarajia burudani ya hali ya juu, huku kila mchezo ukiwa na hadithi yake, ladha yake, na nafasi ya kuandika historia mpya. Vita ya…

Read More

Live: Mbeya City 0-0 Yanga SC

Mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Uwanja wa Sokoine Septemba 30 2025 FT: Mbeya City 0-0 Yanga SC Mbeya City inagawana pointi moja na mabingwa watetezi Yanga SC katika mchezo uliokuwa na ushindani mkubwa mwanzo mwisho. Eneo la kuchezea limekuwa ni changamoto kwa wachezaji wote wa timu zote mbili wenyeji Mbeya City na wageni Yanga…

Read More

Atalanta, Real Madrid, Chelsea na Liverpool Viwanjani Leo – Champions League Yazidi Kunoga

Leo usiku, viwanja vya soka barani Ulaya vitageuka majukwaa ya ufundi, kasi, na ushindi wa kihistoria. Raundi ya pili ya UEFA Champions League inatua kwa kishindo, na Meridianbet inawasha moto wa bashiri, ni wakati wa kuchagua, kubashiri, na kushinda. Baada ya kuchakazwa na PSG, Atalanta wanarudi nyumbani wakitafuta ukombozi. Lakini mbele yao ni Club Brugge…

Read More