TABORA UNITED YAPOTEZA,SIMBA YAISHUSHA YANGA

IKIWA ugenini dhidi ya Tabora United Simba imepata ushindi wa mabao 3-0 baada ya dakika 90 kukamilika. Leonel Ateba alifunga mabao mawili dakika ya 12 na 34 kwa mkwaju wa penalti baada ya Mpanzu kuchezewa faulo na beki wa Tabora United ndani ya 18. Ateba anafikisha mabao 7 sawa na kiungo mshambuliaji Jean Ahoua ambaye…

Read More

HIKI HAPA KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA TABORA UNITED

Kipa namba mbili wa Simba, Ally Salim ameanzia benchi kwenye mchezo dhidi ya Tabora United unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi. Salim alianza katika mchezo uliopita dhidi ya Kilimanjaro Wonders ambao ulikuwa ni CRDB Federation Cup. Kikosi kipo namna hii:- Mousa Camara, Shomari Kapombe, Zimbwe Jr, Hamza Jr, Che Malone. Yusuph Kagoma, Kibu Dennis,…

Read More

YANGA WAIACHA MBALI SIMBA KWENYE MABAO NA POINTI

VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga chini ya Kocha Mkuu, Sead Ramovic wamewaacha mbali watani zao wa jadi kwenye tofauti ya pointi na idadi ya mabao ya kufunga. Baada ya ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Kagera Sugar, mchezo uliochezwa Uwanja wa KMC, Complex Februari Mosi 2o25 Yanga imefikisha pointi 42 ikiishusha Simba nafasi…

Read More