BENCHIKHA MALENGO ILIKUWA UBINGWA AFRIKA
KOCHA Abdelhakh Benchikha, kocha wa kazi amesema kuwa malengo makubwa katika Ligi ya Mabingwa Afrika ilikuwa ni kucheza hatua ya nusu fainali na kutwaa ubingwa lakini ilishindikana kwa kuwa haikuwa mipango ya Mungu. Aprili 28 2024 Simba ilitoa taarifa rasmi kuwa wamefikia makubaliano ya pande mbili kuvunja mkataba kati ya Simba na kocha Benchikha pamoja…