>

BENCHIKHA MALENGO ILIKUWA UBINGWA AFRIKA

KOCHA Abdelhakh Benchikha, kocha wa kazi amesema kuwa malengo makubwa katika Ligi ya Mabingwa Afrika ilikuwa ni kucheza hatua ya nusu fainali na kutwaa ubingwa lakini ilishindikana kwa kuwa haikuwa mipango ya Mungu. Aprili 28 2024 Simba ilitoa taarifa rasmi kuwa wamefikia makubaliano ya pande mbili kuvunja mkataba kati ya Simba na kocha Benchikha pamoja…

Read More

KOCHA BENCHIKHA OUT SIMBA

KOCHA Abdelhakh Benchikha aliyekuwa akiifundisha Simba sasa hatakuwa katikakatika majukumu hayo baada ya makubaliano ya pande zote mbili. Benchikha mrithi wa mikoba ya Robert Oliveira mchezomchezo wake wa kwanza Kariakoo Dabi ilikuwa Aprili 20 2024 ubao ulisoma Yanga 2-1 Simba. Ni yeye alikuwa na timu katika mashindano ya Muungano 2024 kwenye mechi mbili walishinda zote…

Read More

JKT TANZANIA KWENYE KAZI NYINGINE TENA

WAJEDA JKT Tanzania wanatarajiwa kuwa na kazi nyingine kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mtibwa Sugar. JKT Tanzania mchezo wake wa mzunguko wa pili uliopita ilikuwa dhidi ya Yanga na ilishuhudia ubao ukisoma JKT Tanzania 0-0 Yanga. Katika mchezo huo waligawana pointi mojamoja baada ya dakika 90 kukamilika kwa kuwa mchezo wa mzunguko…

Read More

MWAMBA ANA BALAA AZIZ KI

MWAMBA Aziz KI ana balaa zito ndani ya uwanja kutokana na mwendo wake wa kucheka na nyavu kwa msimu wa 2023/24 ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu Miguel Gamondi akiwa na pasi 7 za mabao msimu wa 2023/24 na mguu wake wenye nguvu ni ule wa kushoto akiwa akiwa kafunga mabao 13 na mawili…

Read More

SIMBA WAREJEA DAR NA KOMBE

BAADA ya kukamilisha kazi ya dakika 180 kwenye msako wa Kombe la Muungano, mabingwa wapya ambao ni Simba wamewasili Dar. Kombe la Muungano 2024 lilifanyika Visiwani Zanzibar lilianzia hatua ya nusu fainali ambapo timu nne zilishiriki kwenye mashindano hayo. Ilikuwa nusu fainali ya kwanza KVZ 0-2 Simba mabao ya Michael Fred na Israel Mwenda kwa…

Read More

Siku ya Kutimiza Ndoto Zako ni Leo

Hivi unajua kuwa leo ni siku ya kutimiza ndoto zako endapo utabashiri na meridianbet mechi zako za leo kwa kuchagua machaguo uyatakayo?. Suka mkeka wako sasa na uanze kuengeneza jamvi lako kirahisi sana. LIGUE 1 kama kawaida mechi ni nyingi sana FC Lorient  ambao ni wa 17 watawaalika Toulouse FC ambao ni wa 11 huku…

Read More

COASTAL UNION WAIPA SOMO YANGA

UONGOZI wa Yanga umebainisha kwamba umejifunza jambo la muhimu sana kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Coastal Union licha ya kupata ushindi wa bao 1-0. Aprili 27 2024 Yanga ilikuwa na kazi ya kusaka pointi tatu dhidi ya Coastal Union baada ya dakika 90 walikomba pointi tatu kwa ushindi wa bao la Joseph…

Read More

MIKONO YA KIPA WA COASTAL UNION MOTO MKALI

MIKONO ya kipa namba moja w Coastal Union, Ley Matampi ilikuwa ni moto wa kuotea mbali kutokana na kuokoa hatari za wapinzani wao Yanga. Licha ya ubao wa Uwanja wa Azam Complex kusoma Yanga 1-0 Coastal Union, kipa Matampi alifanya kazi kubwa kwenye kutimiza majukumu yake. Miongoni mwa nyota ambao walifanya majaribio makubwa kwenye kumtungua…

Read More

SIMBA MABINGWA WA MUUNGANO 2024

HATIMAYE mabingwa wapya wa Muungano 2024 ni Simba baada ya kushinda katika mchezo wa fainali dhidi ya Azam FC. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa New Amaan Complex umesoma Simba 1-0 Azam FC. Bao la ushindi limefungwa na kiungo mkabaji Babacar Sarr dakika ya 77 ya mchezo huo ambao ulikuwa na ushindani mkubwa….

Read More

BINGWA WA MUUNGANO ATAJWA NA WIZARA YA MICHEZO

NAIBU Waziri wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma, maarufu kama FA amesema kuwa bingwa wa leo kwenye mchezo wa fainali wa Muungano ataandika rekodi ya kuwa bingwa mpya baada ya mashindano hayo kurejea. FA amesema hayo kwenye uzinduzi wa mashindano ya Dar Youth Cup yaliyoandaliwa na  Bull Football Academy kituo cha kukuza…

Read More

LIGI KUU BARA: YANGA 1-0 COASTAL UNION

FT: LIGI Kuu Bara Mzunguko wa pili, Uwanja wa Azam Complex Yanga 1-0 Coastal Union. Joseph Guede Goal dakika ya 76. Mchezo wa Ligi Kuu Bara, Uwanja wa Azam Complex ni kipindi cha pili ambapo timu zote mbili zinapambana kusaka ushindi. Dakika 45 za mwanzo timu zote mbili zimekwenda kwenye vyumba vya kubadilishia nguo wakiwa…

Read More

SIMBA KAMILI KWA FAINALI MUUNGANO

BENCHI la ufundi la Simba limeweka wazi kuwa lipo tayari kwa mchezo wa fainali dhidi ya Azam FC unaotarajiwa kuchezwa Aprili 27 2024 Uwanja wa New Amaan Complex. Simba imetinga hatua ya fainali ya Muungano kwa ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya KVZ inatarajiwa kukutana na Azam FC ambayo ilipata ushindi wa mabao 5-2 dhidi…

Read More