BBD AFUNGUKIA ISHU YA UBINGWA YANGA
YANGA baada ya kucheza mechi 27 safu yake ya ushambuliaji imefunga jumla ya mabao 60 ikiwa nafasi ya kwanza kwenye msimamo na pointi zake kibindoni ni 71. Kinara wa mabao ndani ya Yanga ni Aziz KI ambaye katupia jumla ya mabao 15 na pasi 8 za mabao. KI amehusika katika mabao 23 yaliyofungwa na Yanga…