>

ORODHA YA MASTAA SIMBA AMBAO WATASEPA, MMOJA AMESHAKATWA

KUNA orodha ndefu ya mastaa wa Simba ambao watasepa katika timu mara baada ya mzunguko wa pili kugota mwisho kutokana na mikataba yao kugota mwisho wengine ni ofa mpya ambazo wanazo mezani jambo litakalofungua hesabu za wao kuondoka jumlajumla. Inatajwa kuwa mwamba Kramo jina lake limeshaondolewa mazima kwenye orodha ya wachezaji wa Simba kutokana na…

Read More

DODOMA JIJI YAPIGWA 4G NA YANGA

MASTA Aziz KI kiungo mshambuliaji wa Yanga amepindua Meza ya vita ya ufungaji bora baada ya kufunga mabao mawili dhidi ya Dodoma Jiji na kufikisha mabao 17 akiwa namba moja chati ya ufungaji. KI amefunga mabao mawili wakati ubao wa Uwanja wa Jamhuri, Dodoma ukisoma Dodoma Jiji 0-4 Yanga ikiwa ni mchezo wa mzunguko wa…

Read More

FAINALI YA YANGA V AZAM KUPIGWA ZANZIBAR

RASMI Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kwamba fainali ya CRDB Federation Cup inatarajiwa kuchezwa Zanzibar. Ni Uwanja wa New Amaan Complex unatarajiwa kutumika kwenye fainali ya mchezo huo unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kwa timu zote mbili. Yanga ambao ni mabingwa watetezi watakabiriana na Azam FC ambapo kwenye fainali iliyopita walicheza na…

Read More

MWAMBA NTIBANZOKIZA KAIBUKA

MWAMBA Saido Ntibanzokiza anafikisha mabao 9 ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24 baada ya kufunga mabao mawili kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Geita Gold. Mei 22 baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Azam Complex ulisoma Simba 4-1 Geita Gold ambapo pointi tatu mazima zilibaki Msimbazi. Ni Geofrey Julius…

Read More

FEI TOTO KAZIDISHA KASI HUKO

WAKATI Azam FC inakomba pointi tatu mazima dhidi ya JKT Tanzania mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Meja Isamuhyo mwamba Feisal Salum kiungo mshambuliaji wa Azam FC aligusa mpira mara 39. Katika dakika 90 alizokomba na kushuhudia ubao ukisoma JKT Tanzania 0-2 Azam FC, Mei 21 2024 alipiga mashuti matatu ambayo yalilenga lango…

Read More

YANGA KUJA NA JAMBO KUBWA LA UBINGWA

MABINGWA mara 30 wa Ligi Kuu Bara Yanga wamebainisha kuwa kutakuwa Parade la Ubingwa la maana Mei 26 2024 ambalo litaanzia Uwanja wa Mkapa asubuhi mpaka Jangwani. Ipo wazi kwamba Yanga metwaa ubingwa baada ya kucheza mechi 27 ikifikisha pointi 71 ambazo hazitafikiwa na timu yoyote ndani ya ligi msimu wa 2023/24. Hivyo vita yam…

Read More

HII HAPA MITAMBO YA MABAO YA SIMBA

MITAMBO ya mabao ndani ya Simba imerejea tarayi kwa ajili ya kuendelea kutimiza majukumu ndani ya uwanja baada ya kuwa nje kwa muda kutokana na sababu mbalimbali. Kwa sasa Ligi Kuu Bara ipo mzunguko wa pili ambapo timu zinakamilisha hesabu bingwa akiwa tayari ameshajulikana ambaye ni Yanga.

Read More

GEITA GOLD YAIPIGIA HESABU SIMBA

KOCHA Mkuu wa Geita Gold, Dennis Kitambi ameweka wazi kuwa anatambua mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba utakuwa na ushindani mkubwa lakini wapo tayari kusaka pointi tatu muhimu. Mchezo huo ni mzunguko wa pili ambapo kwenye mchezo wa mzunguko wa kwanza baada ya dakika 90 ubao ulisoma Geita Gold 0-1 Simba. Simba…

Read More

HII HAPA MITAMBO YA MABAO TATU BORA

MSIMU wa 2023/24 unakwenda kugota mwisho kwa kila timu kupambania malengo yake licha ya kwamba tayari bingwa ameshapatikana ambaye ni Yanga chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi. Ndani ya tatu bora tayari bingwa ashajulikana ambaye ni Yanga alifanikisha malengo hayo baada ya kucheza mechi 27 akifikisha pointi 71 ambazo hazitafikiwa na timu yoyote ile kwa…

Read More

SHINDA MAMILIONI YA MERIDIANBET UNAPOCHEZA EXPANSE TOURNAMENT KASINO

Expanse Tournament kasino moja ya promosheni ya Meridianbet inayoendelea kufanya vizuri mjini, inatoa zawadi kibao kama bonasi za kasino, mizunguko ya bure, na milioni mbili na nusu zinashindaniwa kwa kucheza michezo ya kasino iliyotengenezwa na Expanse ambayo ipo ndani ya Meridianbet kasino ya mtandaoni. Jisajili hapa kuingia kwenye kinyang’anyiro cha ushindi. Katika promosheni hii unapokuwa…

Read More

YANGA YAJA NA GAMONDI DAY

MABINGWA wa Ligi Kuu Bara Yanga chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi wameamua kuja na Gamondi Day kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Dodoma Jiji. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Jamhuri, Dodoma ikiwa ni mzunguko wa pili unatarajiwa kuchezwa Mei 22. Ipo wazi kwamba Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi…

Read More

MMNYAMA NA BALAA LAKE MBELE YA DODOMA

MNYAMA Simba ameandika rekodi yake kwa kupata ushindi dakika zote 720 walipokutana na Dodoma Jiji katika mechi za ligi. Tangu mwaka 2021 Klabu ya Dodoma Jiji haijapata ushindi mbele ya Mnyama Simba katika mechi za Ligi Kuu Bara kwenye jumla ya mechi 8 zote ilikuwa ushindi kwa Simba. Ikumbukwe kwamba mchezo uliopita dhidi ya Dodoma…

Read More