Afisa Habari wa Simba SC, Ahmed Ally amesema Klabu ya Simba inatarajia kuweka kambi nchini Misri katika Mji wa Ismailia kwa ajili ya kujiandaa katika kuelekea msimu mjao wa mashindano (pre season) mwanzoni mwa mwezi Julai.
Official Website
Afisa Habari wa Simba SC, Ahmed Ally amesema Klabu ya Simba inatarajia kuweka kambi nchini Misri katika Mji wa Ismailia kwa ajili ya kujiandaa katika kuelekea msimu mjao wa mashindano (pre season) mwanzoni mwa mwezi Julai.