>

BREAKING: JOHN BOCCO AKUTANA NA THANK YOU

MOJA ya washambuliaji bora ndani ya Bongo kwa wazawa ambaye alikuwa ndani ya kikosi cha Simba John Bocco amepewa mkono wa asante. Nyota huyo kafunga zaidi ya mabao 100 ndani ya ligi akiwa ni mshambuliaji mwenye mabao mengi kwa wazawa rekodi ambayo inaishi. Ipo wazi kwamba kwa msimu wa 2023/24 haukuwa bora kwake Bocco ambapo…

Read More

YANGA IJAYO BALAA ZITO

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa msimu ujao kikosi hicho kitakuwa ni balaa kutokana na maboresho ambayo yatafanyika kwenye kila idara. Ipo wazi kwamba Yanga ni mabingwa wa ligi wakiwa na pointi 80 baada ya kucheza mechi 30 huku mfungaji bora akiwa ni Aziz KI mwenye mabao 21 akifuatiwa na Feisal Salum mwenye mabao 19…

Read More

ISHU YA WACHEZAJI KUWA NA UMRI MKUBWA SIMBA YAFUNGUKA

WAKATI wakitajwa kuwa wachezaji wengi wa Simba miaka imekwenda jambo lililofanya wakashindwa kufanya vizuri ndani ya ligi na Ligi ya Mabingwa Afrika benchi la ufundi la Simba limefafanua kuhusu ishu hiyo. Miongoni mwa wachezaji waliofanya vizuri ndani ya Simba ni pamoja na Saido Ntibanzokiza ambaye ni namba moja kwa utupiaji katika kikosi cha Simba akifunga…

Read More

MOHAMMED DEWJI ATANGAZA WAJUMBE SITA SIMBA

Rais wa heshima na Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi Simba, Mohammed Dewji ametangaza wajumbe sita ambao atafanya nao kazi upande wa muwekezaji . Hili limekuja siku chache baada ya Try Again kujiuzulu na wajumbe wengine kujiuzulu nafasi zao kwenye bodi hiyo 1.Cresentius Magori 2.Hussein Kita 3.Salim Abdallah Tryagain 4.Mohammed Nassoro 5.Zulfikar Chandu 6.Rashidi Shangazi

Read More

CHEZA KASINO MTANDAONI NA UWE TAJIRI! EXPANSE TOURNAMENT INATOA MZIGO MKUBWA

Endelea kucheza kasino ya mtandaoni na uwe tajiri! Expanse Tournament inatoa mzigo mkubwa wa washindi 40, jishindie bonsai za kasino kwa kushiriki michezo ya kasino ya Expanse. Jisajili Meridianbet kufurahia promosheni hii, mahususi kwa wateja wote waliosajiliwa na meridianbet. Shindano la Expanse Meridianbet litatoa zawadi na bonasi za kasino kwa washindi 40 pekee, ambao watakuwa…

Read More