FIFA YAIONDOLEA YANGA ADHABU YA KUFUNGIWA KUSAJILI WACHEZAJI
Shirikisho la Kimataifa wa Miguu (FIFA) limeiondolea Yanga adabu ya kufungiwa kusajili wachezaji baada ya klabu hiyo kurekebisha upungufu uliojitkeza katika Uhamisho wa wachezaji.
Shirikisho la Kimataifa wa Miguu (FIFA) limeiondolea Yanga adabu ya kufungiwa kusajili wachezaji baada ya klabu hiyo kurekebisha upungufu uliojitkeza katika Uhamisho wa wachezaji.
Leo hii Senegal, DR Congo, Mali, Egypt na timu nyingine kibao zinashuka dimbani kusaka pointi tatu kwaajili ya kujiandaa na Kombe la Dunia 2026. Nani unamdhamini kukupatia maokoto?. Suka jamvi lako na merdiainbet sasa. Senegal yenye kikosi cha ushindi kitakuwa dimbani kukiwasha dhidi ya DR Congo. Timu hiyo ina wachezaji wazoefu na ambao wanacheza ligi…
INGIZO jipya ndani ya kikosi cha Azam FC mguu wake wa dhahabu ni ule wa kulia kutokana na kasi yake kuwa katika ubora ndani ya uwanja. Nyota huyo alikuwa akipambana na mwamba Aziz Ki kwenye kutupia mabao uwanjani na mwisho msimu wa 2023/24 ikajulikana kuwa mkali ni Aziz Ki ambaye alitupia mabao 21 akiwa ni…
MWAMBA Aziz Ki ana balaa ndani ya uwanja kutokana na kasi yake kuzidi kuwa imara katika uwanja kila wakati. Rekodi zinaonyesha kuwa amefunga jumla ya mabao 30 ndani ya ligi tangu alipotua Yanga msimu wa 2022/23 na sasa ni 2023/24. Ni mabao 9 alifunga msimu wake wa kwanza na msimu wa 2023/24 katupia mabao 21…
MABINGWA wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24 Yanga inayodhaminiwa na SportPesa ipo kwenye hesabu za kuwaacha baadhi ya mastaa ambao hawajafanya vizuri na wengine watasepa baada ya kandarasi zao kugota mwisho. Miongoni mwa wale ambao wanatajwa kwamba hawatakuwa ndani ya kikosi hicho ni Metacha Mnata, Skudu, Joyce Lomalisa.
KWENYE funga kazi ya msimu wa 2023/24 ndani ya kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu Juma Mgunda mwamba wa kazi Saido Ntibanzokiza alikiwasha. Pengine kazi yake ingekuwa hivyo tangu mwanzo wa msimu alikuwa na nafasi ya kuvunja rekodi yake ya msimu wa 2022/23 kwa kutupia mabao 17 lakini upepo ulikuwa tofauti. Kiungo mshambuliaji wa…
20 Imperial Crown Deluxe ni mchezo wa kasino mtandaoni unaohusu matunda, mchezo huu una safu tano zilizopangwa katika mistari mitatu yenye mistari 20 ya malipo. Ili kushinda, lazima uunganishe alama tatu au zaidi zinazofanana kwenye mstari wa malipo. Alama ya Lucky 7 ndiyo isiyofuata sheria hii na huleta malipo popote inapoonekana kwenye safu zilizopangwa. Kila…