DODOMA JIJI YAPIGWA 4G NA YANGA

MASTA Aziz KI kiungo mshambuliaji wa Yanga amepindua Meza ya vita ya ufungaji bora baada ya kufunga mabao mawili dhidi ya Dodoma Jiji na kufikisha mabao 17 akiwa namba moja chati ya ufungaji. KI amefunga mabao mawili wakati ubao wa Uwanja wa Jamhuri, Dodoma ukisoma Dodoma Jiji 0-4 Yanga ikiwa ni mchezo wa mzunguko wa…

Read More

FAINALI YA YANGA V AZAM KUPIGWA ZANZIBAR

RASMI Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kwamba fainali ya CRDB Federation Cup inatarajiwa kuchezwa Zanzibar. Ni Uwanja wa New Amaan Complex unatarajiwa kutumika kwenye fainali ya mchezo huo unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kwa timu zote mbili. Yanga ambao ni mabingwa watetezi watakabiriana na Azam FC ambapo kwenye fainali iliyopita walicheza na…

Read More

MWAMBA NTIBANZOKIZA KAIBUKA

MWAMBA Saido Ntibanzokiza anafikisha mabao 9 ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24 baada ya kufunga mabao mawili kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Geita Gold. Mei 22 baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Azam Complex ulisoma Simba 4-1 Geita Gold ambapo pointi tatu mazima zilibaki Msimbazi. Ni Geofrey Julius…

Read More

FEI TOTO KAZIDISHA KASI HUKO

WAKATI Azam FC inakomba pointi tatu mazima dhidi ya JKT Tanzania mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Meja Isamuhyo mwamba Feisal Salum kiungo mshambuliaji wa Azam FC aligusa mpira mara 39. Katika dakika 90 alizokomba na kushuhudia ubao ukisoma JKT Tanzania 0-2 Azam FC, Mei 21 2024 alipiga mashuti matatu ambayo yalilenga lango…

Read More