KIBU DENNIS AIBUA JAMBO SIMBA

MKANDAJI Kibu Dennis ambaye kwa sasa anapambania hali yake kurejea kwenye ubora ameibua jambo ndani ya Simba baada ya tetesi kueleza kwamba ana ofa kutoka timu inayoshiriki Ligi Kuu Bara. Kibu mchezo uliopita dhidi ya Namungo alikwama kukamilisha dakika 90 kuna hatihati akakosekana kwenye mchezo wa kesho Mei 3 2024 dhidi ya Mtibwa Sugar. Taarifa…

Read More

Anza Alhamisi Yako na Meridianbet

Leo hii kuna mechi za kupiga pesa yaani ni kivumbi leo michuano ya Europa na Konferensi hatua ya Nusu Fainali ambapo kila timu inahitaji ushindi ili kujiweka kwenye nafasi nzuri ya kusonga Fainali. Vijana wa  De Rossi AS Roma watamenyana dhidi ya Bayer Leverkusen ambao ndio timu pekee kwenye ligi bora Duniani Ulaya ambayo haijapoteza…

Read More

YANGA NA SIMBA MWENDO WA FAINI, ADHABU YA CHAMA NDOGO

KAMATI ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu nchini imezitoza faini Simba na Yanga kutokana na kosa la kuingia katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kupitia milango isiyo rasmi siku ya mchezo wa KariakooDerby uliyochezwa April 20, 2024. Kutokana na kosa hilo kamati imeitoza Yanga SC Shilingi milioni tano (5,000,000) baada ya…

Read More

GAMONDI APIGA MKWARA, YANGA HAO NUSU FAINALI

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa licha ya kupata ushindi kwenye mchezo dhidi ya Tabora United bado hajafurahishwa na viwango vya wachezaji wake. Kwenye mchezo huo uliochezwa Mei Mosi 2024 Yanga ilipata ushindi na kutinga hatua ya nusu fainali ndani ya CRDB Federation Cup ambapo wao ni mabingwa watetezi. “Tumecheza vizuri na…

Read More

SIMBA MIKONONI MWA MTIBWA SUGAR

BAADA ya kugawana pointi mojamoja dhidi ya Namungo, Uwanja wa Majaliwa kete inayofuata kwa Simba ni dhidi ya Mtibwa Sugar. Chini ya Kocha Mkuu Juma Mgunda akishirikiana na Seleman Matola mchezo wao wa kwanza kukaa benchi walishuhudia ubao ukisoma Namungo 2-2 Simba. Timu hiyo ndani ya tatu bora haijawa na mwendo mzuri na itamkosa kiungo…

Read More