
KOCHA BENCHIKHA OUT SIMBA
KOCHA Abdelhakh Benchikha aliyekuwa akiifundisha Simba sasa hatakuwa katikakatika majukumu hayo baada ya makubaliano ya pande zote mbili. Benchikha mrithi wa mikoba ya Robert Oliveira mchezomchezo wake wa kwanza Kariakoo Dabi ilikuwa Aprili 20 2024 ubao ulisoma Yanga 2-1 Simba. Ni yeye alikuwa na timu katika mashindano ya Muungano 2024 kwenye mechi mbili walishinda zote…