Home Sports MWAMBA HUYU ANA BALAA ZITO UWANJANI

MWAMBA HUYU ANA BALAA ZITO UWANJANI

KIUNGO mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ana balaa zito ndani ya uwanja kutokana na kutimiza majukumu yake kwa umakini akishirikiana na wachezaji wengine katika kusaka pointi tatu ndani ya ligi huku akiwa namba moja kwa wazawa wenye mabao mengi.

Previous articleMIKONO YA KIPA WA COASTAL UNION MOTO MKALI
Next articleCOASTAL UNION WAIPA SOMO YANGA