MWAMBA Aziz KI ana balaa zito ndani ya uwanja kutokana na mwendo wake wa kucheka na nyavu kwa msimu wa 2023/24 ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu Miguel Gamondi akiwa na pasi 7 za mabao msimu wa 2023/24 na mguu wake wenye nguvu ni ule wa kushoto akiwa akiwa kafunga mabao 13 na mawili kwa mguu.