Home Sports MWAMBA ANA BALAA AZIZ KI

MWAMBA ANA BALAA AZIZ KI

MWAMBA Aziz KI ana balaa zito ndani ya uwanja kutokana na mwendo wake wa kucheka na nyavu kwa msimu wa 2023/24 ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu Miguel Gamondi akiwa na pasi 7 za mabao msimu wa 2023/24 na mguu wake wenye nguvu ni ule wa kushoto akiwa akiwa kafunga mabao 13 na mawili kwa mguu.

Previous articleSIMBA WAREJEA DAR NA KOMBE
Next articleJKT TANZANIA KWENYE KAZI NYINGINE TENA