
SIMBA YAKAMILISHA KAMBI SASA KAMILI KUWAVAA AL AHLY
WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba wamewasili Dar kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly. Kikosi cha Simba Machi 19 kiliweka kambi Zanzibar kwa ajili ya kambi maalumu ikiwa ni maandalizi ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly. Mchezo huo…