AZAM FC YAREJEA CHIMBO

KIKOSI cha Azam FC kinachofundishwa na Kocha Mkuu, Yusuph Dabo kimerejea chimbo kwa maandalizi ya mechi za ushindani ndani ya Ligi Kuu Bara. Azam FC inaingia kwenye rekodi ya timu mbili ambazo zimepata ushindi mbele ya Yanga inayofundishwa na Miguel Gamondi katika mechi za ligi. Ikumbukwe kwamba Yanga ni mabingwa watetezi wamekuwa kwenye mwendo bora…

Read More

SIMBA YAPIGA HESABU NDEFU KWA AL AHLY KIMATAIFA

UONGOZI wa Simba umebainisha kwamba hesabu kubwa ni kufanya vizuri kwenye mechi zote mbili za kimataifa hatua ya robo fainali kwa kuanza na kazi Uwanja wa Mkapa dhidi ya Al Ahly ya Misri. Ipo wazi kwamba Al Ahly watakuwa wapinzani wa Simba kwenye hatua ya robo fainali wakipata ushindi dhidi yao watatinga nusu fainali kwenye…

Read More

HII HAPA SIRI YA MWAMBA AZIZ KI

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Aziz KI raia wa Burkina Faso ameweka wazi kuwa ushirikiano mkubwa kutoka kwenye benchi la ufundi pamoja na wachezaji ni nguzo kubwa kupata mafanikio katika mechi wanazocheza. Ipo wazi kwamba Aziz KI ni kinara wa utupiaji ndani ya Yanga akiwa na mabao 13 idadi hiyo ni sawa na kiungo wa Azam…

Read More