Home Sports MITAMBO YA KAZI AZAM FC INAPIKWA UPYA

MITAMBO YA KAZI AZAM FC INAPIKWA UPYA

MITAMBO ya kazi ndani ya kikosi cha Azam FC imeanza kazi kwa ajili ya kuendeleza ushindani ndani ya Ligi Kuu Bara huku dhamira kubwa ikiwa ni kuendeleza ushindani kwenye mechi ambazo watakuwa uwanjani vinara hao wa Ligi Kuu Bara

Previous articleYANGA WASIMIKA MNARA MWINGINE HUKU
Next articleMALI YATINGA ROBO FAINALI MBELE YA BURKINA FASO