NTIBANZOKIZA NA TUZO MKONONI, MABAO SABABU
MKONONI ana tuzo ya mchezaji bora wa Ligi Kuu Bara kwa mwezi Mei baada ya kuwashinda nyota wawili alioingia nao fainali. Nyota huyo ni shuhuda wa watani zao wa jadi Yanga wakisepa na taji la ligi kwa msimu wa 2022/23 wakiwa na tofauti ya pointi tano. Anaitwa Saido Ntibanzokiza kiungo mshambuliaji wa Simba ambaye alitupia…