TAIFA STARS WAANZA KAZI KAMBINI
BAADA ya kuripoti kambini nyota wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars wameanza rasmi mazoezi kwa ajili ya kuwa fiti kwa mechi za ushindani. Ni Novemba 11 rasmi walianza mazoezi hayo ikiwa ni kuelekea kwenye mechi mbili ngumu na zitakazokuwa na ushindani mkubwa. Hizo ni kwa ajili ya mechi mbili za kufuzu Kombe la…