KIMATAIFA SIMBA YATANGAZA WAGENI RASMI NA KAZI KUANZA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa kuelekea kwenye mchezo wao wa hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika wapo tayari na mashabiki watakuwa ni wageni rasmi kwenye mchezo huo. Ipo wazi kwamba ni Roberto Oliveira na pira papatupapatu alikiongoza kikosi hicho kutinga hatua ya makundi kwa sasa hatakuwa na timu hiyo baada ya kusitishiwa mkataba…

Read More

MERIDIANBET KUTAMBULISHA MICHEZO MIPYA YA KASINO MTANDAONI

Meridianbet kwa kushirikiana na Expanse studio wanakuja na vitu vipya, michezo mipya ya kasino mtandaoni itakayozinduliwa kwenye maonyesho ya SiGMA World Europe.   Baada ya kuonyesha mafanikio yao huko G2E Las Vegas, Expanse sasa inatarajia kuonyesha bidhaa zao mpya huko Malta kuanzia tarehe 13 hadi 17 Novemba kwenye banda namba 1030.  Wachezaji wa Meridianbet na…

Read More

NYOTA STARS WAAHIDI KUPAMBANA KIMATAIFA

NYOTA wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars wameweka wazi kuwa watapambana kupata matokeo kwenye mchezo wao dhidi ya Niger ambao ni wa kufuzu Kombe la Dunia. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Novemba 18 katika Mji wa Marrakech siku ya Jumamosi. Miongoni mwa wachezaji waliopo kwenye msafara huo ni Simon Msuva, Novatus Dismas, Peter Banda,…

Read More

MIKATABA YA WACHEZAJI IHESHIMIWE KUPISHANA NA KESI

KESI nyingi ambazo zinawasumbua mabosi wengi wa timu ndani ya ardhi ya Tanzania ni kuhusu malipo. Mikataba ya wachezaji inakwenda kirafiki na hakuna ambaye anajali. Hili ni janga kubwa ambapo kila siku kumekuwa na kesi zinazowahusu wachezaji kufungua kesi kuhusu malipo yao. Haina maana kwamba waajiri hawatambui umuhimu wa kuwalipa hapana wanaamua kufanya makusudi. Mwisho…

Read More

KOCHA MBABE WA YANGA ATAJWA SIMBA

ABDELHAK Benchikha aliyewahi kuwa Kocha Mkuu wa USM Alger anatajwa kuwa katika hesabu za kupewa mikoba ya Robert Oliveira. Baada ya ubao wa Uwanja wa Mkapa Novemba 5 2023 kusoma Simba 1-5 Yanga, Novemba 8 Simba ilitangaza kupeana mkono wa asante na Oliveira. Taarifa zimeeleza kuwa upo uwezekano koçha huyo aliyetwaa ubingwa wa Kombe la…

Read More

KWA NINI TEN HAG ANAHUKUMIWA?

ILIKUWA  April 14, 2012, miaka 11 nyuma. Kwenye mechi kati ya Pescara dhidi ya Livorno. Mchezaji Piermario Morosin, alipatwa na mshtuko wa moyo na kuanguka uwanjani. Baada ya juhudi kubwa za madaktari kuokoa uhai wake, saa moja na nusu mbele, aliaga dunia. Wanasema ni jukumu la daktari kutibu, kuponya ni kazi ya maulana. Unajua kilichotokea…

Read More

TAIFA STARS KAMILI GADO KWA KAZI

MAANDALIZI ya wachezaji wa timu ya Taifa ya Tanzania yakizidi kupamba moto, nyota wa timu hiyo wameahidi wapo kamili kwa mechi zote zilizopo mbele yao. Simon Msuva anayekipiga Klabu ya JS Kabylie inayoshiriki Ligi Kuu ya Algeria ameweka wazi kuwa wanatambua ugumu uliopo kwenye mechi mbili ambazo ni dakika 180. Msuva amesema: “Tumekuja kupambania timu…

Read More

YANGA WAJA NA HILI KUHUSU MAJEMBE MAPYA

UONGOZI wa Yanga umeweka waz kuwa utafanya maboresho kwenye kikosi hicho kwa umakini kuelekea kwenye dirisha dogo linalotarajiwa kufunguliwa Desemba. Moja ya nyota wanaotajwa kuwa kwenye hesabu za kuwa ndani ya Yanga ni pamoja na Chvaviro ambaye yupo kwenye hesabu za kusajiliwa na timu hiyo.

Read More

BOSI MO AIBUKA NA JAMBO HILI SIMBA

BAADA ya kimya cha muda tangu ubao wa Uwanja wa Mkapa kusoma Simba 1-5 Yanga, hatimaye ameibuka bosi wa Simba na kuwaomba mashabiki watulie kipindi hiki cha mpito. Ni Rais wa Heshima wa Simba , Mohamed Dewji amewaomba mashabiki wa timu hiyo kuwa watulivu katika kipindi hiki ambacho kumekuwa na minong’ono ya hapa na pale….

Read More

PANGA LINAPITA NDANI YA SIMBA BOSI AMESEMA

MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, Salum Abdallah ‘Try Again’ amewapa mwezi mmoja na nusu mastaa wao kutumia kipindi hicho kujihakikishia nafasi ya kubaki kikosini. Simbahaijawa kwenye mwendo mzuri mwanzo wa msimu wa 2023/24 kutokana na kukwama kufikia malengo yao ambayo walijiwekea ikiwa ni pamoja na mashindano ya African Football League. Mashindano hayo mapya…

Read More

KIEPE NYANI, TANZANIA ONE ASIYEIMBWA

FADHILI Majiha (Kiepe Nyani) bondia wa ngumi za kulipwa nchini ambaye kwa sasa anashikilia rekodi ya kuwa bondia namba moja (Tanzania One) akiwa na hadhi ya nyota nne. Majiha ambaye ni bingwa wa WBC Afrika na UBO alianza kucheza ngumi za kulipwa mwaka 2008 ambapo pambano lake la kwanza alipanda ulingoni dhidi ya Ramadhan Kumbele…

Read More

WANAJESHI HAWA WA AZAM KWENYE MAJUKUMU YA TAIFA

 WANAJESHI sita ndani ya kikosi cha Azam FC wameitwa kwenye timu zao za taifa. Kwa sasa Ligi Kuu Bara ipo kwenye mapumziko kupisha mashindano ya kimataifa ambapo timu zitakuwa kwenye mechi za  kufuzu Fainali za Kombe la Dunia mwaka 2026. Mastaa hao walioitwa kwenye timu za taifa ni wanne wapo kambini timu ya taifa ya…

Read More

KISA MGHANA HUYU SINGIDA FOUNTAIN GATE YAPIGWA PINI

IKIWA ni muda wa mapumziko kwa sasa ndani ya Ligi Kuu Bara, Klabu ya Singida Fountain Gate inayotumia Uwanja wa Liti imepigwa pini kwenye suala la usajili. Timu hiyo ya Singida Fountain Gate inayoshiriki Ligi Kuu ya NBC ya Singida Fountain Gate FC zamani ilikuwa ikiitwa Singida Big Stars FC imefungiwa kusajili mpaka itakapomlipa mchezaji…

Read More

SIMBA SC YATAMBA KUWA WA KWANZA KATIKA HILI

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa umefanikiwa kuwa timu ya kwanza Afrika Mashariki kuzindua Simba SC WhatsApp Channel. Rasmi leo Novemba 14 Simba imetambulisha chanel hiyo ikiwa ni chanzo cha kutoa taarifa kwa mashabiki na dunia nzima kiujumla. Imani Kujula, Mtendaji Mkuu wa Simba amesema: “Leo tunazindua Simba Sports Club WhatsApp channel. WhatsApp imepakuliwa na…

Read More