KIMATAIFA SIMBA YATANGAZA WAGENI RASMI NA KAZI KUANZA
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa kuelekea kwenye mchezo wao wa hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika wapo tayari na mashabiki watakuwa ni wageni rasmi kwenye mchezo huo. Ipo wazi kwamba ni Roberto Oliveira na pira papatupapatu alikiongoza kikosi hicho kutinga hatua ya makundi kwa sasa hatakuwa na timu hiyo baada ya kusitishiwa mkataba…