ARSENAL NI MOTO KWELIKWELI

KASI ya Arsenal kwenye Ligi Kuu England ni moto baada ya kupindua meza kwenye mchezo dhidi ya Manchester United wakiwa nyumbani. Ubao wa Uwanja wa Emirates umesoma Arsenal 3-2 Manchester United ambao walipigiwa mpira mkubwa wakiwa ugenini. Ni Marcus Rashford alianza kufunga dakika ya 17 na lile la pili kwa United lilifungwa na Lisandro Martinez…

Read More

BALEKE, SAWADOGO WAFANYA BALAA SIMBA

WAKIFANYA mazoezi pamoja na timu kwa siku mbili, Kocha msaidizi wa Simba, Juma Mgunda amevutiwa na nyota wapya waliosajiliwa na timu hiyo, katika dirisha dogo msimu huu. Nyota hao wapya waliosajiliwa na Simba, ni mastraika Jean Baleke, Mohammed Mussa na kiungo mkabaji Ismael Sawadogo. Mastaa hao walifanya mazoezi hayo kwa Alhamisi na Ijumaa iliyopita wakijiandaa…

Read More

MAYELE AWATUMIA SALAMU NZITO RUVU, KITAWAKA LEO KWA MKAPA

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Fiston Mayele amesema kuwa atahakikisha kuwa anaisaidia timu hiyo kuibuka na ushindi katika mchezo wao wa ligi kuu dhidi ya Ruvu Shooting huku akitamani kufunga bao katika mchezo huo. Yanga leo Jumatatu wanatarajiwa kuwakaribisha Ruvu katika mchezo wa ligi kuu unaotarajiwa kufanyika katika Uwanja wa Mkapa, Dar. Akizungumza na Championi Jumatatu, Mayele…

Read More

SAKATA LA FEI TOTO NGOMA NZITO

FEI Toto nyota wa Yanga inatajwa kuwa ameongeza mwanasheria mwingine kwenye sakata ya kesi yake na Yanga. Kiungo huyo amemuongeza mwanasheria huyo baada ya kuomba, ‘review’ juu ya majibu ya kesi yake. Tayari majibu kuhusu sakata lake awali yalitolewa na Kamati Tendaji ya Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF) kuhusiana na shauri lake ambalo liliwasilishwa na…

Read More

MWAKA MPYA UMEANZA NA KIMBUNGA CHA ZAWADI KEM KEM JANUARI HII!

Mwaka mpya umeanza na Kimbunga cha zawadi kem kem Januari hii! Meridianbet Kasino itawafurahisha washindi 3 wenye bahati kwa kuwapatia zawadi mbalimbali, ni kwa kucheza michezo yeoyote ya kasino ya mtandaoni kutoka Meridianbetkama vile Aviator, Titan Roulette, Titan Dice, Poker, God of Coins, Expanse Casino, Egyptian Buddha na mingine mingi. Mshindi wa Meridianbet Kasino Kujishindia…

Read More

YANGA YAONGEZA NGUVU ULINZI

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa unahitaji kuwa na ukuta imara ambao utakuwa unalindwa na makipa wenye uwezo mkubwa. Kwenye dirisha dogo Yanga imemuongeza Metacha Mnata ambaye alikuwa anakipiga ndani ya Singida ig Stars ataungana na Diarra Djigui kipa namba moja, Aboutwali Mshery pamoja na Eric Johora. Ali Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga ameweka wazi…

Read More

DODOMA JIJI 0-1 SIMBA

LICHA ya ubao wa Uwanja wa Jamhuri, Dodoma kusoma Dodoma Jiji 0-1 Simba ukuta wa Simba unaonekana kuwa mzito kwelikweli. Bao la kuongoza ndani ya dakika 45 za mwanzo limefungwa na Jean Baleke dakika ya 45 akitumia makosa ya safu ya ulinzi ya Dodoma Jiji. Dodoma Jiji wanaonekana kuwa na kasi kuitafuta ngome ya kipa…

Read More

KIKOSI CHA DODOMA JIJI DHIDI YA SIMBA

KWENYE kikosi cha Dodoma Jiji ambacho kinatarajiwa kumenyana na Simba mchezo wa Ligi Kuu Bara nyota Hassan Kessy ameanza benchi. Hiki hapa kikosi cha kwanza:- Danny Mgore Fadhil Ngalema Augustino Justine Nkosi Mwana Muhsin Opare Mwaterema Martin Akiba Kalambo Kibacha Adeyum Kessy Mgalula Kyata Raizin Zidane Karihe

Read More

YANGA KAMILI KUIKABILI RUVU SHOOTING KWA MKAPA

KUELEKEA kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ruvu Shooting, Cedrick Kaze kocha msaidizi wa Yanga amesema kuwa wachezaji wapo tayari kwa mchezo huo. Kesho Yanga inatarajiwa kumenyana na Ruvu Shooting kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Ruvu Shooting, Uwanja wa Mkapa. Cedrick amesema wanatamua utakuwa ni mchezo mgumu lakini wapo tayari ili kupata…

Read More

JEMBE JIPYA ARSENAL KUANZA KAZI LEO

JEMBE jipya ndani ya kikosi cha Arsenal, Leandro Trossard huenda akaanza leo kuonyesha makeke mchezo dhidi ya Manchester United. Ni miaka minne amesaini ndani ya timu hiyo akitokea Brighton ambayo nayo inashiki Ligi Kuu Engand. Nyota huyo amesema kuwa ni furaha kujiunga na timu hiyi hivyo atapambana kutimiza majukumu yake kwa umakini akishirikiana na wengine….

Read More