CHAMA KALIAMSHA HUKO NDANI YA SIMBA

CLATOUS Chama, mwamba wa Lusaka ameanza kujipata taratibu baada ya kuonyesha ubora uliokosekana kwa muda mrefu ndani ya uwanja. Chini ya Roberto Oliveira, mchezo wa mwisho kufanya umwamba ilikuwa dhidi ya Power Dynamos alipofunga mabao mawili, ubao uliposoma Power Dynamos 2-2 Simba baada ya hapo hakuwa kwenye ubora wake. Ikumbukwe kwamba alikuwa ndani ya Uwanja…

Read More

PATA BONASI YA KASINO MPAKA 2,500,000/= TZS UKIJISAJILI MERIDIANBET

Unaijua 200% inakuaje? Meridianbet msimu huu wa Sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya unapojisajili, ukaongeza salio kwenye akaunti yako kisha kucheza kasino ya mtandaoni au kubashiri soka unapatiwa bonasi ya mgao wa 2,500,000/=TZS Kila mchezaji aliyejisajili  kwenye tovuti  ya Meridanbet.co.tz au Meridianbet APP na kuweka pesa  kwa mara kwanza kiasi kinachoanzia  TZS 10,000  na zaidi kisha kucheza …

Read More

TWIGA STARS YATUSUA WAFCON UGENINI

BAKARI Shime, Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya wanawake Twiga Stars ambayo  imefuzu kucheza mashindano ya WAFCON 2024 yatakayofanyika nchini Morocco.amesema kuwa jitihada za kupata ushindi zilishindikana lakini wachezaji walijituma. Twiga imefuzu baada ya ushindi wa jumla wa mabao 3-2 dhidi ya Togo ambapo kila mmoja kashinda kwenye mechi aliyokuwa nyumbani. Ikumbukwe kwamba Twiga…

Read More

FEISAL SALUM WA AZAM FC AMPOTEZA MAXI WA YANGA

NI Feisal Salum nyota wa Azam FC amempoteza kiungo wa kazi ndani ya Yanga Maxi Nzengeli kwenye kuwania tuzo ya mchezaji bora wa Novemba. Fei ameibuka kuwa mchezaji bora wa mwezi Novemba akiwapoteza Maxi Nzengeli wa Yanga na Kipre Jr. wa Azam FC ambao aliingia nao kwenye fainali. Wakati Feisal aking’ara katika mwezi huo, kocha…

Read More

ALIYEWAVURUGA WAARABU KWA MKAPA ATOA TAMKO ZITO

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Pacome aliyewavuruga namna anavyopenda Waarabu Al Ahly kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika ameweka wazi kuwa watapambana kupata matokeo kwenye mechi zinazofuata Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi. Yanga iligawana pointi moja kwenye mchezo wa kwanza wakiwa nyumbani hatua ya makundi kwa kufungana bao 1-1 dhidi ya Waarabu wa…

Read More

SIMBA WAWAFUATA WAARABU MOROCCO

WAWAKILISHI  wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika Klabu ya Simba Desemba 5 2023 imeenza safari yakuelekea Morocco. Safari hiyo ni maalumu kwa ajili ya kuikabili timu ya Wydad Casablanca mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Ikumbukwe kwamba mchezo uliopita kwa Simba wakiwa ugenini dhidi ya Jwaneng Galaxy walishuhudia ubao ukisoma Jwaneng Galaxy 0-0 Simba….

Read More

FOUNTAIN GATE PRINCESS KUSHIRIKI NGAO YA JAMII

UONGOZI wa Fountain Gate Princess umeweka wazi kuwa wamepata fursa nyingine kwa tmu hiyo kushiriki kwenye Ngao ya Jamii kwa Wanawake. Taarifa iliyotolewa imeeleza namna hii:”Tunapenda kuwafahamisha rasmi kuwa Timu yetu ya Wanawake Fountain Gate Princess inatarajia kushiriki Ngao ya Jamii Kwa Wanawake ambayo ni ishara ya kuanza kwa msimu mpya wa Ligi ya Wanawake…

Read More

YANGA YAWAFUATA WAPINZANI WAO KIMATAIFA

KIKOSI cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi, Desemba 5 alfajiri kimeanza safari kuelekea Ghana kwa ajili ya kupambania kupata pointi tatu muhimu. Baada ya kucheza mechi mbili ambazo ni dakika 180 imekusanya pointi moja pekee. Yanga inapeperusha bendera ya Tanzania kwenye anga la kimataifa katika Ligi ya Mabingwa Afrika ina kibarua cha kusaka…

Read More

HUZUNI INATOSHA KIMATAIFA, KICHEKO KIPATIKANE

HUZUNI kwa mashabiki kushindwa kupata kicheko kwenye mechi za kimataifa inapaswa kuondolewa na wachezaji uwanjani. Hali haijawa nzuri kwenye mechi za kimataifa ambapo ni timu mbili kutoka ardhi ya Tanzania zinafanya kazi yake. Yanga na Simba katika hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika. Kila timu ikiwa imecheza mechi mbili hakuna iliyoambulia ushindi jambo linaloongoza…

Read More

WAARABU WAMPA TUZO PACOME BONGO

LICHA ya kuambulia pointi moja kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika uliochezwa Uwanja wa Mkapa bado Yanga hawakumaliza mechi hiyo kinyonge. Kwenye mchezo huo uliochezwa Desemba 2 na ubao ukasoma Yanga 1-1 Al Ahly ya Misri bao alilofunga nyota wa Yanga limebeba tuzo ya bao bora la wiki. Ni Pacome Zouzoua alipachika bao la…

Read More