Home Sports AMEANZA KUJIPATA CLATOUS CHAMA, LUIS BADO Sports AMEANZA KUJIPATA CLATOUS CHAMA, LUIS BADO December 5, 2023 FacebookTwitterPinterestWhatsApp MWAMBA Clatous Chama ndani ya Simba taratibu ameanza kujipata ndani ya kikosi hicho baada ya kutokuwa kwenye ubora wake kwa muda mrefu. Ikumbukwe kwamba kwenye ligi kafunga mabao mawili pekee na pasi moja ya bao msimu wa 2023/24.