
YANGA YASOGEZEWA UBINGWA,SIMBA JEURI CAF
Yanga yasogezewa ubingwa, Simba jeuri tupu CAF ndani ya Spoti Xtra Alhamisi
Yanga yasogezewa ubingwa, Simba jeuri tupu CAF ndani ya Spoti Xtra Alhamisi
YANGA kuivaa miamba hii kwenye anga za kimataifa
Sub-Heading: Aprili ya Kishua unaambiwaje jisajili Meridianbet upate mizunguko 50 ya bure kucheza sloti ya kasino ya mtandaoni. Kujisajili bonyeza hapa: https://a.meridianbet.co.tz/c/srILsF Furahia sloti mpya kutoka Kasino ya Mtandaoni ikielezea Roma ya Kale! Cheza kipekee katika sloti ya Meridianbet Veni Vidi Vici! Ikiwa unafurahia michezo inayoelezea mambo ya kale, Meridianbet kasino ya mtandaoni wana zawadi…
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa yaliyotoea Morocco yote ni somo kwao na sasa macho yao ni kwenye mchezo wao dhidi ya Ihefu ambao ni wa robo fainali Azam Sports Federation. Simba imetoka kufunga kete ya sita hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika ilishuhudia ubao wa Uwanja wa Mohamed V ukisoma Raja Casablanca 3-1…
MWAMBA Anuari Jabir amepata dili a kwenda kufanya majaribio kwa muda wa siku 14 kutoka Klabu ya Ligi Kuu ya Ubelgiji (Pro League Belgium) Jumatatu ya Aprili 3 aliwasili salama Ubegiji kwa kwa ajili ya majaribio ya kuchezea timu hiyo na mipango ikienda sawa anaweza kumwaga wino huko. Jabir ni chaguo la kwanza la Kocha…
Robo fainali CAF: Waleteni tumalizane ndani ya Championi Jumatano
NJE ndani TP Mazembe kaacha pointi tatutatu mbele ya Yanga walipokutana kwenye mechi ya Kombe la Shirikisho Afrika hatua ya makundi wote wakiwa kundi D. Yanga wamekamilisha mechi ya sita wakiwa wanaongoza kundi na kibindoni wana pointi 13, hapa tunakuletea kazi ilivyokuwa Uwanja wa TP Mazembe:- Lenny Junior Kipa huyu aliokoa hatari dakika ya 6,14,15…
Promosheni Kabambe ya Endorphina Kuutafuta utajiri ni rahisi sana kama ukiichagua kasino ya mtandaoni ya Meridianbet kwa sababu kila siku wanakuja na promosheni za kibabe kwaajili yako. Ukiweka kando michezo ya kubashiri soka, kuna bonasi na machaguo kibao. Hivyo saka utajiri kwa kucheza kasino ya mtandaoni kila siku na ujiweke kwenye nafasi ya kushinda mgao…
USHINDANI uliopo ndani ya Championship ikiwa ni mzunguko wa 25 unazidi kuleta raha ya kuifuatilia na kuona namna gani kila mmoja anavuna kile alichopanda. Kila timu inapambana kwa nafasi yake kutafuta ushindi kwa kuwa hakuna timu inayopenda kubaki pale ambapo ipo kwa muda mrefu ukizingatia kwamba kupanda daraja ni mafanikio. Uendeshaji wake ulivyo na namna…
MSIKE Mzee Muchachu kuhusu usajili amtaja Fei Toto
MABOSI wa Simba wameshtukia jambo zito baada tu ya kufuzu hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kufanya mabadiliko ya haraka kwa kuamua kumkabidhi timu kocha msaidizi ya timu hiyo, Juma Mgunda kuelekea katika mchezo dhidi ya Yanga inayoonolewa Nasreddine Nabi raia wa Tunisia. Simba imefanya mabadiliko hayo ya ndani baada ya…
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Fiston Mayele amewachimba mkwara mabeki wa Simba akiwemo Josh Onyango kwa kuwaambia moja ya kazi kubwa iliyopo mbele yake kwa sasa ni kuhakikisha anapata nafasi ya kuifunga timu hiyo katika Ligi Kuu Bara kuelekea mchezo wao wa Aprili 16, mwaka huu. Mayele ametoa kauli hiyo kufuatia rekodi yake katika Ligi Kuu Bara…
WINGA msumbufu wa TP Mazembe, Phillipe Kinzumbi ameweka wazi kuwa ameamua kukubali kumwaga wino Yanga kutokana na mambo matatu makubwa ambayo yamemvutia ndani ya timu hiyo. Nyota huyo usajili wake unatajwa kumalizwa na vigogo wa Yanga ambao walienda nchini DR Congo kwenye mechi ya marudiano kati ya Yanga na TP Mazembe ambayo ilipigwa Uwanja wa…
Sub-Heading: Jisajili Meridianbet leo upate mizunguko 50 ya bure kucheza moja ya mchezo uupendao kuna Aviator, Poker, Titan Roulette na mingine mingi. Kujisajili bonyeza hapa https://a.meridianbet.co.tz/c/srILsF Kuna watu wana bahati sana kwenye Maisha, embu fikiria zali la Tsh milioni Hamsini na Nne na Laki Saba (54,700,000/=) linakuangukia wewe. Hii sio stori tena ni uhalisia kabisa…
ONYANGO apewa onyo na Yanga/Musonda atakimbizwa