MIGUEL Gamondi Kocha Mkuu wa Yangaameweka wazi kuwa kuna kazi kubwa ya kuongeza umakini kwenye eneo la ulinzi ili kuzuia kufungwa katika mechi za Ligi ya Mabingwa Afrika. Timu hiyo baada ya kucheza mechi mbili ambazo ni dakika 180 imeokota mabao manne kwenye nyavu.
Tottenham Hotspur forward Dominic Solanke battles with Crystal Palace defender Maxence Lacroix during the English championship Premier League football match between Crystal Palace and Tottenham Hotspur on 27 October 2024 at Selhurst Park in London, England - Photo Ian Stephen / ProSportsImages / DPPI (Photo by IAN STEPHEN / ProSportsImages / DPPI via AFP)