WALIOPO MKIANI MUHIMU KUPAMBANIA KOMBE

MUDA wa kufanya kazi kubwa ya kujitoa kwenye nafasi zile za mwisho wengi hupenda kuita mkiani inatosha kwa kuanza kuleta ushindani wa kweli. Ipo wazi kwamba kila timu inahitaji kupata matokeo mazuri lakini inakwama kutokana na kukutana na ushindani mkubwa zaidi. Muda uliopo kwa sasa ni kufanya malipo stahiki kwa muda ili kuwa kwenye ubora…

Read More

SIMBA WAIREJESHA TUZO KWA MASHABIKI

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa tuzo ya mashabiki bora ambayo wamepata kutokana na kushiriki michuano ya African Football League ni heshima kubwa kwao. Ikumbukwe kwamba Simba iligotea hatua ya robo fainali kwa kuondolewa na Al Ahly ya Misri. Baada ya kutwaa tuzo hiyo walibainisha kuwa ni ya kila shabiki wa Simba. Novemba 11 Simba…

Read More