MBAPPE LICHA YA USHUJAA KOCHA HANA TABASAMU

LICHA ya Kylian Mbappe kuibuka shujaa kwa kuifungia timu yake ya Paris Saint-Germain (PSG) mabao matatu, kocha wa straika huyo, Luis Enrique ameibuka na kuweka wazi kuwa hana furaha na nyota huyo. Enrique ameongeza kuwa hana furaha na Mbappe kwa kuwa anataka kumuona nyota huyo akifanya mambo makubwa zaidi katika kikosi cha timu hiyo. Mbappe…

Read More

DARAJANI KILIPIGWA KINOMANOMA

MOJA kati ya mechi zilizokuwa na ushindani mkubwa ndani ya uwanja pale darajani hii itaingia kwenye orodha pia. Ndani ya Stamford Bridge baada ya dakika 90 ubao ulisoma Chelsea 4-4 Man City. Mabao ya Cole Palmer dakika ya Thiago Silva dakika ya 29, Raheem Sterling dakika ya 37, Nicolas Jackson dakika ya 67 huku msumari…

Read More

WALIOPO MKIANI MUHIMU KUPAMBANIA KOMBE

MUDA wa kufanya kazi kubwa ya kujitoa kwenye nafasi zile za mwisho wengi hupenda kuita mkiani inatosha kwa kuanza kuleta ushindani wa kweli. Ipo wazi kwamba kila timu inahitaji kupata matokeo mazuri lakini inakwama kutokana na kukutana na ushindani mkubwa zaidi. Muda uliopo kwa sasa ni kufanya malipo stahiki kwa muda ili kuwa kwenye ubora…

Read More

SIMBA WAIREJESHA TUZO KWA MASHABIKI

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa tuzo ya mashabiki bora ambayo wamepata kutokana na kushiriki michuano ya African Football League ni heshima kubwa kwao. Ikumbukwe kwamba Simba iligotea hatua ya robo fainali kwa kuondolewa na Al Ahly ya Misri. Baada ya kutwaa tuzo hiyo walibainisha kuwa ni ya kila shabiki wa Simba. Novemba 11 Simba…

Read More