HAWA HAPA MABINGWA WA AFL

Mabingwa wa African Football League ñi Mamelod Sundown ya Afrika Kusini mbele ya Wydad Casablanca. Katika fainali ya leo ubao umesoma Mamelod 2-0 Wydad na kuwafanya watwae ubingwa kwa jumla ya mabao 3-1. Bao la Peter Shalulile dakika ya 45 liliwaongezea nguvu vijana hao ambao walipachika bao ka pili dakika ya 53 kupitia kwa Modiba….

Read More

YANGA YARIPOTIWA KUMSAJILI KIUNGO MKATA UMEME WA IVORY COAST

Klabu ya Yanga imeripotiwa kuwa ukingoni kukamilisha dili la kumsajili kiungo mkata umeme kutoka Ivory Coast, Djire Abdoulaye kutoka klabu ya Racing Club Abidjan. Young Africans SC inahitaji kiungo mwingine mkabaji haraka iwezekanavyo ikiwa ni pendekezo la kocha Miguel Gamondim Abdoulaye (17) anatazamiwa kukubaliana pia masharti ya kibinafsi na Young Africans licha ya msururu wa…

Read More

DEREVA WA CHINO AFARIKI

DEREVA aliyekuwa akiendesha gari alilokuwa akisafiria msanii na dansa maarudu, Chino Kid aitwaye Nabeel, amefariki dunia akiwa anapatiwa matibabu, kutokana na majeraha aliyoyapata kwenye ajali hiyo. Mmoja wa watu wa karibu wa Chino Kid, Prodyuza Abbah Process kupitia akaunti zake za mitandao ya kijamii, ameandika: ‘Rest in Peace Brother, tumepoteza mwanafamilia mmoja aliyekuwa kwenye ajali…

Read More

MERIDIANBET KUNA MGAO WA 800,000/= TZS UNAKUSUBIRI

Michezo kabambe ya kasino mtandaoni kutoka Expanse itakufanya kuvuna bonasi kuanzia TZS 100,000/= kwenye mgao wa TZS 800,000/= Mwezi huu wa Novemba. Ukiachana na sloti kibao ikiwemo michezo ya kasino mtandaoni rahisi kabisa kupiga pesa kama Aviator mchezo pendwa, Roulette na Poker, katika promosheni hii ya Expanse Casino 9.0 mchezaji atakayecheza michezo ifuatayo atajiweka kwenye…

Read More

PUMZIKA KWA AMANI RAPHAEL DWAMENA

Mshambuliaji wa Timu ya Taifa ya Ghana, Black Stars, Raphael Dwamena amefariki dunia baada ya kuanguka uwanjani  wakati wa mechi kati ya timu yake ya Egnatia Rrogozhine ya nchini Albania dhidi ya Partizani. Mtandao wa soka wa Citi Sport umeripoti kuwa habari za kifo chake zimekuja baada ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28…

Read More

MAMBO MAGUMU KWA MBABE WA YANGA

MBABE wa Yanga anayekipiga ndani ya kikosi cha Azam FC, Suleiman Abdallah, (Sopu) mambo kwake ni magumu ndani ya msimu mpya wa 2023/24 kwa kukosa zali la kucheka na nyavu kama ambavyo alianza msimu uliopita. Mechi nne kapata zali la kuanza kikosi cha kwanza ndani ya Azam FC ambazo ni sawa na dakika 360 chini…

Read More

TAIFA STARS WAANZA KAZI KAMBINI

BAADA ya kuripoti kambini nyota wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars wameanza rasmi mazoezi kwa ajili ya kuwa fiti kwa mechi za ushindani. Ni Novemba 11 rasmi walianza mazoezi hayo ikiwa ni kuelekea kwenye mechi mbili ngumu na zitakazokuwa na ushindani mkubwa. Hizo ni kwa ajili ya mechi mbili za kufuzu Kombe la…

Read More

YANGA WABADILI HESABU, MIPANGO IPO HIVI SASA

Kocha Mkuu Yanga, Miguel Gamondi ameweka wazi kuwa hesabu zake kwenye anga la kimataifa kwa ajili ya mechi  za Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya CR Belouzdad inayonolewa na  Mbrazili Marcos Paqueta aliyechukua nafasi ya Sven Vandebroeck zimeanza sasa. Sven kwa sasa ni kocha huru ambapo anatajwa kwamba yupo kwenye hesabu za kurejea ndani ya…

Read More