SIMBA YAGAWANA POINTI NA NAMUNGO NYUMBANI

KIKOSI cha Simba kimegawana pointi moja na Namungo FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Uhuru. Baada ya dakika 90 ubao umesoma Simba 1-1 Namungo ikiwa ni mchezo uliokuwa na ushindani mkubwa. Namungo walianza kupata bao kipindi cha kwanza kupitia kwa mshambuliaji wa Relliats Lusajo. Lusajo alifunga bao hilo dakika ya 29…

Read More

INJINIA HERSI ATOA AHADI NZITO

RAIS wa Yanga, Injinia Hersi Said, amewataka mashabiki wa timu hiyo kujivunia timu yao, huku akitamka kuwa upo uwezekano mkubwa wa kupata ushindi wa mabao zaidi ya matano msimu huu watakapokutana tena na Simba. Jeuri hiyo imekuja baada ya wikiendi iliyopita, Yanga kufanikiwa kuifunga Simba mabao 5-1 katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa kwenye…

Read More

NYONI ATUMA UJUMBE SIMBA

KIRAKA ndani ya kikosi cha Namungo, Erasto Nyoni ameweka wazi kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba. Nyoni ameibuka ndani ya Namungo msimu wa 2023/24 baada ya kupewa Thank You ndani ya kikosi cha Simba. Leo Novemba 9 2023 Simba inatarajiwa kumenyana na Namungo ikiwa ni mchezo wa…

Read More

CHAMA ASHTUA NA KASI YAKE NDANI YA SIMBA

MWAMBA wa Lusaka, Clatous Chama mkali wa pasi za mwisho Novemba 8 2023 anatimiza saa 792 za kuganda bila kushangilia pasi yake ya bao wala kufunga ndani ya Ligi Kuu Bara. Ikumbukwe kwamba Oktoba 5 2023 ilikuwa ni mara ya mwisho kwa staa huyo wa Simba raia wa Zambia kufunga ndani ya ligi kwa msimu…

Read More

SIMBA V NAMUNGO HAIJAWAHI KUWA RAHISI

KITAUMANA leo kwa wababe wawili ndani ya uwanja kusaka pointi tatu muhimu kwenye mchezo wa ligi unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Uhuru. Ni Simba watakuwa nyumbani wakiikaribisha Namungo wauaji wa kusini kwenye mchezo unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa na haitakuwa kazi rahisi kwa wote jasho litamwagika. Hapa tunakuletea baadhi ya hesabu zitakazoongeza ugumu kwa timu zote…

Read More

CHAMA KUMWAGA MAMILIONI Bet Winner

KAMPUNI ya michezo ya kubahatisha, Bet Winner kupitia promo code ya CHAMA inakupa nafasi ya kupata bonasi hadi Shilingi 390,000 punde utakapojiunga na kuweka salio kwenye akaunti yako. Bet Winner ambayo kwa sasa inakimbiza kwenye soko la wanaobet mtandaoni, imeipa nafasi promo code ya CHAMA (kwa herufi kubwa) kuwa ndio itakayowapa bonasi wateja wake wote…

Read More

MKIA UMALIZWE, WACHEZAJI WANALIA NA MENGI

MACHOZI ya wachezaji uwanjani yafutwe kwa vitendo na sio maneno yale ya kuwapa moyo kwamba haya yatapita. Kwenye mechi nyingi wanazocheza wapo wale wanaoumia kutokana na matokeo wengine hawajali. Ipo wazi kwamba katika dakika 90 za kutafuta matokeo yapo mengi ambayo yanatokea.Kikubwa ni viongozi kuangalia kipi kinachofanyika baada ya mchezo. Mashuhuda kwenye mchezo wa Kariakoo…

Read More

MAN UTD YACHAPIKA TENA UEFA, RASHFORD APEWA KADI NYEKUNDU

Manchester United iliyokuwa pungufu ya mchezaji mmoja baada ya Marcus Rashford kuoneshwa kadi nyekundu imekubali kichapo cha 4-3 dhidi ya wenyeji FC Copenhagen katika dimba la Parken, Copenhagen. FT: FC Copenhagen ?? 4-3 ??????? Man United ⚽ Elyounoussi 45′ ⚽ Goncalves 45+9′ ⚽ Lerager 83′ ⚽⚽ Højlund 2′ 27′ ⚽ Bruno (P) 69′ ? Rashford…

Read More