WYDAD HAO FAINALI AFL

KLABU ya  Waydad Casablanca ya Morocco  imefanikiwa kutinga hatua ya Fainal katika Mashindano ya African Football League mara baada ya kuiondosha Klabu ya Esperance De Tunis kwa Mikwaju ya Penati Klabu ya Wydad Imeibuka ushindi wa magoli 5 yaliyopatikana kwenye mikwaju ya Penati dhidi ya Esperance walioapata magoli 4 katika mikwaju ya Penati Watakutana na…

Read More

MANCHESTER UNITED YAMEWAKUTA TENA

MANCHESTER United mkeka umechanika tena baada ya kupoteza dhidi ya Manchester City kwenye Dabi mbele ya Newcastle United wamepoteza tena. Mwendo wa timu hiyo kwa sasa haupendezi ambapo mabosi wanatajwa kufikiria kuachana na Kocha Mkuu, Ten Hag ambaye alikuwa anapewa nafasi ya kufanya makubwa ndani ya kikosi hicho. Uwanja wa Old Trafford umesoma Manchester United…

Read More

NGOMA YA MASHUJAA IMEKUWA NZITO

MCHEZO wake wa kwanza langoni kipa namba mbili wa Azam FC Ali Ahmada kashuhudia wakikomba poiñti tatu ugenini na mabao matatu Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Lake Tanganyika umesoma Mashujaa 0-3 Azam FC. Kipre Junior dakika ya 52, Gibril Sillah dakika ya 70 na Allasane Diao alimtungua kwa kipa wa Mashujaa akitumia…

Read More