DODOMA JIJI KUMEKUCHA, MASHUJAA YAWAKUTA

WAKIWA Uwanja wa Jamhuri, Dodoma walikuwa mashuhuda wakibaki na pointi tatu mazima baada ya dakika 90. Ubao ulisoma Dodoma Jiji 1-0 Kagera Sugar iliyokuwa inazisaka pointi tatu pia. Bao la ushindi ni mali ya Cristian Nzigah aliyepachika bao hilo dakika ya 40 lilidumu mpaka mwisho wa mchezo huo. Ikumbukwe kwamba Kagera Sugar ilitoka kukomba pointi…

Read More

KAGERA YAIPIGIA HESABU KALI DODOMA JIJI

UONGOZI wa Kagera Sugar umeweka wazi kuwa upo tayari kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi kuu Bara unatarajiwa kupigwa  Oktoba 25, kwenye Dimba la Jamhuri mjini Dodoma. Ofisa Habari wa Kagera Sugar, Hamisi Mazanzala aliliambia Championi  Jumatano kuwa, maandalizi yapo sawa kwa ajili ya mchezo huo. “Maandalizi yapo sawa na wachezaji wapo tayari kupambana…

Read More

SIMBA NDANI YA DAR WAKITOKA KUPAMBANA NA WAARABU

MSAFARA wa Simba uliokuwa na jumla ya wachezaji 24 umewasili salama Dar ukitokea Misri ulipokuwa kwa ajili ya mchezo wa African Football League. Ni mapambano ya dakika 90 dhidi ya Waarabu wa Misri ilikuwa kwenye mchezo wa kuamua nani atakayetinga hatua ya nusu fainali kimataifa. Oktoba 24, ubao ulisoma Al Ahly 1-1 Simba. Kwenye hatua…

Read More

KASINO MITANDAONI NDIO HABARI YA MJINI KWASASA

Kama ulikua hujui sasa hivi watu wanajipigia tu mikwanja kupitia Kasino Mitandaoni ikiambatana na michezo kabambe kama Roullete, Piggy, Pinata Loca, Lakini kwasasa kuna mchezo unaobamba unajulikana kama Starlight Princess. Meridianbet wamekuja na Promosheni ambayo itajumuisha mchezo wa Starlight Princess ambayo imeanza tarehe 19 mwezi huku Oktoba na kumalizika mwezi huu tarehe 31 ambapo mshindi…

Read More

AZIZ KI KIBAO KIMEGEUKA

MTAALAMU wa mapigo huru ndani ya Yanga, Aziz KI amekuja na mtindo mpya kwa msimu wa 2023/24 kwa kuwavuruga makipa waliokariri ubora wake wa kutumia mguu wa kushoto kufunga. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2022/23 Aziz KI alitupia mabao 9 na alitengeneza pasi tano za mabao kwenye mechi za ligi. Mabao yote na pasi hizo alizotoa katika mechi 24 alizocheza akikomba dakika…

Read More

GAMONDI AZIPIGIA HESABU KALI POINTI ZA SIMBA

KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi raia wa Argentina, amefichua kwamba, ana kazi kubwa mbele ya kuhakikisha anapata matokeo mazuri katika michezo yake mitatu ijayo ikiwemo dhidi ya Simba kabla ya kugeukia michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa lengo la kupunguza presha ya kupambania ubingwa wa Ligi Kuu Bara. Gamondi ametoa kauli ikiwa Yanga…

Read More

YAO AONGEZEWA MAUFUNDI YANGA

BEKI wa pembeni tegemeo wa Yanga, Muivory Coast, Yao Kouassi ameandaliwa kwa kupewa mbinu za kufunga kila anapofika ndani na nje 18 ya goli la wapinzani. Yao amekuwa tegemeo kubwa katika kikosi cha Yanga katika kuanzisha mashambulizi huku akikaba katika goli lake. Nyota huyo hadi hivi sasa amefunga amepiga asisti tatu huku akifunga bao moja…

Read More

FT: AL AHL 1-1 SIMBA

 WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye mashindano mapya ya African Football League safari yao imegota mwisho baada ya kuondolewa na Al Ahly waliopata faida ya kuwa na mabao mengi ugenini. Mchezo wa robo fainai ya pili ambao umechezwa nchini Misri, Oktoba 24 ubao umesoma Al Ahly 1-1 Simba. Bao la Simba limefungwa na Sadio Kanoute dakika ya…

Read More

JE UNITED ANAWEZA KUSHINDA KWA MARA YA KWANZA LEO HII?

Mambo Vipi mteja wa Meridianbet? Leo ndio leo na michezo ya Ligi ya mabingwa itapigwa kwenye viwanja mbalimbali kuanzia kule Old Trafford na kwingine pia. Ingia www.merididnabet.co.tz uanze kusuka mkeka wako wa maana na wenye maokoto ya kutosha. Manchester United akiwa hajashinda mechi yoyote mpaka sasa atakuwa katika dimba la Old Trafford kumenyana dhidi ya…

Read More

AFL: AL AHLY 0-0 SIMBA

Kipindi cha pili ubao umesoma Al Ahly 1-1 Simba ambapo Simba walipachika bao kupitia kwa Sadio Kanoute dakika ya 67 likasawazishwa na Kahraba dakika ya 76. FT Al aHLY 1-1 Simba na wanaondolewa kwa kanuni kwa kuwa mchezo wa kwanza wakiwa nyumbani waliruhusu kufungwa mabao 2-2. Ni hatua ya robo fainali, African Football League nchini…

Read More

AL AHLY V SIMBA HAITAKUWA MECHI NYEPESI

BAADA ya mchezo wa ufunguzi kufanyika Uwanja wa Mkapa kwenye mchezo uliokuwa na ushindani mkubwa kinachofuata kwa sasa ni mchezo wa marudiano ugenini. Ipo wazi kwamba Simba, iliandika rekodi ya kuwa klabu ya kwanza ya Tanzania kucheza michuano mikubwa na mipya ya African Football League dhidi ya Al Ahly ya Misri. Haikuwa mechi nyepesi kutokana…

Read More

KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA AL AHLY

KIKOSI cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Roberto Oliveira leo kina kazi ya kusaka ushindi mchezo wa robo fainali African Football League. Hiki hapa kikosi cha kwanza ambacho kinatarajiwa kuanza kipo namna hii:- Ally Salim Shomari Kapombe Mohamed Hussein Henock Inonga Che Malone Sadio Kanoute Fabrince Ngoma Kibu Dennis John Bocco Saido Ntibanzokiza Clatous Chama

Read More