MWAMBA HUYU HAPA NDANI YA YANGA ANASUKWA UPYA

NYOTA wa Yanga, Clement Mzize anasukwa upya ili kuongeza makali yake kwenye kufunga mabao kwenye mechi za kitaifa na kimataifa. Mzize ambaye ni mzawa ni chaguo la kwanza chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi amekuwa akipewa program maalumu kwa ajili ya kuimarika zaidi awapo uwanjani.  Ofisa Habari wa Yanga, Ali Kamwe amesema kuwa wachezaji wote…

Read More

AZAM FC HESABU ZAO NDEFU BONGO

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi malengo yao msimu huu ni kuweza kupambana na kufanya maandalizi ya kutosha kwa ajili ya kupata matokeo mazuri na kuwa nafasi za juu. Jana Septemba 21, Azam FC ilikomba pointi tatu mazima dhidi ya Singida Fountain Gate. Baada ya dakika 90 ubao ulisoma Azam FC 2-1 Singida Fountain Gate…

Read More

VIDEO: AHMED ALYY AFUNGUKIA ISHU YA HENOCK INONGA

AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba ameweka wazi kuwa beki wa Simba Henock Inonga hajavunjika baada ya kuchezewa faulo kwenye mchezo dhidi ya Coastal Union. Simba inafikisha pointi tisa sawa na Yanga ambao ni vinara wa ligi msimu wa 2023/24. Katika mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Uhuru ubao ulisoma Simba 3-0…

Read More

BALEKE JINA LAKE LIMESOMA

JEAN Baleke ni nyota wa pili kufunga mabao matatu kwenye mchezo mmoja ndani ya Ligi Kuu Bara. Jina lake limesoma kwenye orodha ya mastaa wenye hat trick Bongo ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24. Katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Uhuru, Septemba 21 ubao ulisoma Simba 3-0 Coastal Union na mabao yote yalifungwa na…

Read More

MUDA NI SHUJAA WA GAMONDI

KIUNGO mzawa Mudathir Yahya anayekipiga ndani ya Yanga ni shujaa chini ya Miguel Gamondi kutokana na uwezo wake kila anapopata nafasi. Nyota huyo kwenye mchezo dhidi ya Namungo FC uliochezwa Uwanja wa Azam Complex alionyesha mekeke yake alipotokea benchi. Baada ya dakika 90 kwenye mchezo uliokuwa na ushindani mkubwa ubao ulisoma Yanga 1-0 Namungo FC…

Read More