>

SIMBA YAREJEA KAMBINI KUIVUTIA KASI POWER DYNAMO

BAADA ya kukamilisha mechi mbili za Ligi Kuu Bara na kukomba pointi sita jumlajuma, tayari wachezaji wa Simba pamoja na benchi la ufundi wamerejea kambini. Ikumbukwe kwamba mabingwa watetezi wa ligi ni Yanga chini ya kocha Miguel Gamondi. Yanga imeanza kwa kasi msimu wa 2023/24 sawa na Simba ambao ni watani zao wa jadi wote…

Read More

ISHU YA PENALTI YAMVURUGA GAMONDI

ZAWAD Mauya, kiungo mzawa mkabaji ndani ya kikosi cha Yanga amekutana na kisanga kutoka kwa Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi baada ya kuwa chanzo cha penalti katika mchezo huo. Ikumbukwe kwamba Yanga katika mechi tano mfululizo ilizocheza ilikuwa haijaruhusu bao la kufungwa rekodi hiyo ilitibuliwa na ASAS FC kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa…

Read More

THANK YOU YA KWANZA KWA KOCHA BONGO

SINGIDA Fountain Gate imeweka wazi kuwa Hans Pluijm hataendelea kuwa kwenye benchi la ufundi msimu wa 2023/24. Pluijm amepewa mkono asante Agosti 29 ndani ya timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho Afrika. Kwa sasa timu hiyo ya Singida Fountain Gate itakuwa chini ya Mathias Lule ambaye ni kocha msaidizi. Mchezo wa…

Read More

MUDA ULIOBAKI KWA USAJILI UTUMIKE KWA UMAKINI

HAKUNA marefu yasiyo na ncha ipo hivyo na ukweli hauwezi kuwekwa kando kwa namna yoyote lazima utakutana nao. Sio Yanga, Simba hata Singida Fountain Gate ni muhimu kukamilisha utaratibu kwa wakati na umakini mkubwa. Tumeona wapo makocha ambao wameanza na timu kwa mwendo wa kusuasua wana nafasi ya kufanya maboresho kwa wakati ujao. Kwa wakati…

Read More