HESABU ZA KESHO MUHIMU KUPANGWA LEO

KWA kila aina ya nyakati ambazo zinapita ni muhimu kuwa na mwendelezo mzuri ambao utaleta matokeo chanya kila idara kwenye sekta ya michezo sio Yanga tu bali Singida Big Stars. Namungo mpaka Geita Gold wakati wa kuanza maandalizi ni sasa kwani kila timu ni muhimu kufanya maandalizi mazuri. Wapo ambao wanaamini kwamba kufika mwisho kwa…

Read More

NIFUATE YA SAMAKIBA YAPAMBA MOTO

KWENYE Nifuate ya Samakiba huku mgeni rasmi akiwa ni rais mstaafu wa Tanzania, Jakaya Kikwete amekuwa shuhuda ubao ukisoma Timu Samatta 4-2 Timu Kiba. Mchezo huo wa hisani maalumu kwa ajili ya kurejesha kwa jamii umepamba moto huku kila mmoja akionesha ujuzi wake ndani ya uwanja. Mchezo huo wa hisani ulichezwa Uwanja wa Azam Complex…

Read More

WAWILI SIMBA WAMEGOTA MWISHO

BEKI wa Simba Mohamed Outtara hatakuwa sehemu ya kikosi hicho kwa msimu wa 2023/24. Nyota huyo alikuwa kwenye kikosi kilichopoteza Ngao ya Jamii mbele ya watani za jadi Yanga uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Katika mchezo huo Yanga iliibuka na ushindi wa mabao mawili yote yakifungwa na Fiston Mayele ambaye alimtungua Beno Kakolanya. Ni Pape Sakho…

Read More

WINGA WA KAZI IMEISHA HIYO YANGA

KUTOKA Dodoma mpaka Dar kutokana na uwezo wake ambao uliwavutia mabosi wa Yanga wakampa dili kuitumikia timu hiyo. Alikuwa anacheza ndani ya Dodoma Jiji akaanza changamoto mpya Yanga yenye maskani yake Jangwani, Kariakoo. Mafanikio makubwa akiwa na timu hiyo ni pamoja na kuwa miongoni mwa wachezaji walioandika historia ya kutinga hatua ya fainali katika Kombe…

Read More

YANGA YAFUNGUKIA OFA YA MAYELE

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa umepokea ofa nyingi ambazo zinahitaji huduma ya nyota Fiston Mayele. Mayele wa Yanga mkononi ana tuzo ya ufungaji bora wa ligi baada ya kufunga mabao 17 pia katika Kombe la Shirikisho Afrika ni namba moja kwa utupiaji akiwa na mabao 7. Ana hat trick moja kwenye ligi aliwatungua Singida…

Read More

KIUNGO MNIGERIA YAMEMKUTA SIMBA

VICTOR Ackpan kiungo wa Simba amepewa mkono wa kwa kheri ndani ya kikosi cha Simba. Kiungo huyo raia wa Nigeria yamemkuta masuala ya ‘Thank You’ kama iliyokuwa kwa Augustino Okra raia wa Ghana. Kiungo huyo aliibuka ndani ya Simba akitokea kikosi cha Coastal Union ya pale Tanga inayotumia Uwanja wa Mkwakwani kwa mechi za nyumbani….

Read More

JULIO ATEMBEZA MKWARA WA MAANA

KOCHA Mkuu wa KMC Jamhuri Khiwelo, ‘Julio’ amesema kuwa hana hofu na timu yoyote anafanya kazi kubwa kusuka kikosi kwa ajili ya msimu mpya. Julio amewahi kuifundisha Simba iliyogotea nafasi ya pili kwenye msimamo na aliwahi kuingoza timu hiyo kwenye mchezo wa dabi dhidi ya Yanga. Yanga ni mabingwa wa ligi msimu wa 2022/23 wamekusanya…

Read More

MUDA WA KAZI KWA AJILI YA MSIMU UJAO NI SASA

NYAKATI zinakuja na kupita na sasa ni wakati wa maandalizi ya msimu mpya ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kwa timu zote baada ya mabingwa wa ligi ambao ni Yanga kutangazwa. Ipo wazi kuwa kesi ya ubingwa kwenye kila eneo kuanzia Ligi Kuu Bara, Azam sports Fedaration mpaka suala la tuzo zote zimefungwa. Tumeona namna…

Read More

KOCHA YANGA AWEKA UGUMU HUU

KOCHA Msaidizi wa Yanga, Mrundi Cedric Kaze amekataa kusaini mkataba mpya wa timu hiyo, akitoa masharti magumu kwa uongozi ulioanza mazungumzo ambao ulitarajiwa kukutana naye mapema. Mkataba wa Nabi na Kaze ulimalizika Jumatatu hii mara baada ya mchezo wa Fainali ya Kombe la FA kumalizika kwa Yanga kutwaa taji hilo kwa kuwafunga Azam FC bao…

Read More

KIUNGO HUYU WA KAZI MIKONONI MWA SIMBA

MILTON Karisa nyota mwenye miaka 27 anayekipiga ndani ya Vipers ya Uganda anatakiwa kuwa katika hesabu za Simba. Kiungo huyo amewahi kufanya kazi na Robert Oliviera ambaye ni Kocha Mkuu wa Simba ikiwa dili lake litajibu atakuwa miongoni mwa nyota watakaokutana na watani zao wa jadi Yanga kwenye mechi za ushindani. Yanga ni watani za…

Read More