KIBOKO YA AIR MANULA NI MOTO WA KUOTEA MBALI
MTAMBO wa mabao ndani ya Azam FC, Prince Dube kahusika kwenye mabao 10 ndani ya timu hiyo inayonolewa na Kali Ongala. Dube kampa tabu pia kipa namba moja wa Simba, Aishi Manula kwa kumtibulia rekodi zake za kutofungwa kwenye mechi zote mbili za ligi walipokutana Uwanja wa Mkapa. Manula wa Simba ni namba mbili kwa…