PAMPA WAZITAKA POINTI ZA MASHUJAA
KOCHA Mkuu wa Pamba, Yusuph Chippo amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa Championship dhidi ya Mashujaa FC unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Nyamagana. Pamba ya Mwanza ipo nafasi ya tatu kwenye msimamo ikiwa na pointi 48 baada ya kucheza mechi 23 inakutana na Mashujaa iliyo nafasi ya 4 na pointi 41. Tippo amesema:“Tunamshukuru…