RIVERS UNITED 0-0 YANGA

UBAO wa Uwanja wa Godswill Akpabio huko Nigeria unasoma Rivers United 0-0 Yanga ikiwa ni dakika 45 za awali. Yanga inaliandama lango la wapinzani wao katika mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika wakimtumia Fisto Mayele na Aziz KI. Mashuti 6 Yanga wamepiga matatu yamelenga lango huku Rivers wakiwa wamepiga mashuti 7 hakuna hata moja lililolenga…

Read More

AZAM FC YAISHUSHA SINGIDA BIG STARS

USHINDI waliopata dhidi ya Ruvu Shooting unawapeleka nafasi ya tatu kwenye msimamo 53. Ubao wa Uwanja wa Jamhuri, Morogoro ulisoma Ruvu Shooting 1-3 Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu Bara, Aprili 22,2023. Ruvu wanagotea nafasi ya 16 wana pointi zao 20 wamecheza wote mechi 27. Azam FC wanaishusha Singida Big Stars kwenye nafasi ya…

Read More

KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA RIVERS UNITED

UWANJA wa Godswill Akpabio nchini Nigeria, wawakilishi wa Tanzania, Yanga kwenye Kombe la Shirikisho Afrika watakuwa na kibarua cha kusaka ushindi mchezo wa robo fainali Kombe la Shirikisho Afrika. Kikosi cha Yanga kitakachoanza kipo namna hii:- Diarra Djigui Djuma Shaban Lomalisa Bakari Mwamnyeto Dickson Job Bacca Bangala Farid Mussa Fiston Mayele Mudhathir Yahya Aziz KI

Read More

SALIM PONGEZI SAWA LAKINI TIMU INAZIDI KUIMARIKA

ANGALAU kwenye ukuta wa Simba kuna makosa yanazidi kufanyia kazi hasa eneo la ulinzi ambalo limekuwa lifanya makosa mengi makubwa yanayoigharimu timu. Ukimpongeza Ally Salim kwenye mechi tatu ambazo amekaa langoni ukamuweka kando nahodha Mohamed Hussein bado utakuwa hujatenda haki. Ipo wazi kwamba kwenye mchezo dhidi ya Yanga, Mohamed alifanya makosa mengi ambayo yalimpa mtihani…

Read More

KAZI YA KWANZA KIMATAIFA HAIKAMILISHI HESABU BADO

MATOKEO ya mchezo wa kwanza hayana maana kwamba safari imegota mwisho kwa kila timu bali ni mwendelezo kwenye mchezo unaofuata. Hakika kwenye mechi za kimataifa wawakilishi wana kazi kubwa kusaka ushindi ili kupata matokeo mazuri ambayo yatawapa furaha mashabiki na Tanzania kiujumla. Kwa wakati huu kwenye hatua ya robo fainali ni mechi mbilimbili zinachezwa kwa…

Read More

TWAHA KIDUKU AFANYA KWELI

BONDIA Twaha Kiduku amechapa Lago Kiziria kutoka Georgia kwa pointi na kufanikiwa kutetea taji lake la UBO huku akishinda taji jipya la PST hapa katika Ukumbi wa Tanzanite, Morogoro. Baada ya ushindi huo Twaha ambaye ni mzawa ameweka wazi kuwa furaha ya ushindi ni kubwa na hatarudi nyuma kwa kuwa anahitaji kufanya vizuri zaidi. “Wamezoea…

Read More

SIMBA YAIBUKA NA USHINDI DHIDI YA WYDAD

KIWA Uwanja wa Mkapà klabu ya Simba imepata ushindi wa bao 1-0 Wydad Casablanca. Huu ni mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya robo fainali na bao limefungwa na Jean Baleke dakika ya 30. Licha ya kuwa na mabadiliko katika kikosi cha kwanza akianza Ally Salim langoni bado walikuwa na kushinda mchezo huo. Baleke…

Read More

POLISI TANZANIA YAPANDA NAFASI MOJA

USHINDI ambao wameupata Polisi Tanzania kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ihefu umewaondoa kutoka nafasi ya 16 mpaka 15. Katika mchezo uliochezwa Aprili 21 baada ya dakika 90 ubao ulisoma Polisi Tanzania 2-1 Ihefu. Mabao ya Ihefu yalifungwa na Kelvin Sabato huku lile la Ihefu likifungwa na Adam Adam. Ushindi huo unaifanya Polisi…

Read More

SIMBA 1-0 WYDAD CASABLANCA

UBAO wa Uwanja wa Mkapa unasoma Simba 1-0 Wydad Casablanca ikiwa ni hatua ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Bao la kuongoza limefungwa na mshambuliaji Jean Baleke akiwa ndani ya 18 dakika ya 30. Dakika 45 za mwanzo Simba imepata umiliki wa asilimia 55 huku Wydad wakiwa na umiliki wa asilimia 45. Ushindani ni mkubwa huku…

Read More

KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

IKIWA ni mchezo wa hatua ya robo fainali ni Ally Salim ameanza langoni mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya robo fainali dhidi ya Wydad Casablanca. Shomari Kapombe, Henock Inonga,Joash Onyango na Mohamed Hussein hawa upande wa ulinzi. Mzamiru Yassin na Sadio Kanoute hawa upande wa viungo wakabaji. Kibu Dennis, Saidi Ntibanzokiza na Clatous…

Read More

KIMATAIFA HAKUNA MWENYE KAZI NYEPESI,KUJITUMA MUHIMU

SIO Simba wala Yanga kwenye anga za kimataifa hakuna mwenye kazi nyepesi kutokana na mechi zao wote kuwa ngumu katika hatua ya robo fainali. Kwa mashabiki wakati huu lazima kuungana na kufanya kazi moja kushangalia timu zao huku wachezaji nao akili zao zikiwa kwenye mechi uwanjani. Kwenye hatua za robo fainali ambacho kinaangaliwa ni ushindi mechi zote…

Read More

MICHEZO Ligi Mbalimbali Za Kukupatia Pesa Wikendi Hii Unaanzaje Wikendi Yako?

Ligi mbalimbali Duniani kuendelea wikendi hii huku kila timu ikihitaji kusaka pointi 3 muhimu ili kusalia kwenye ligi, wengine wakipambania Ubingwa na wengine wakipambani kusalia kwenye ligi. EPL, Bundesliga, NBC, Serie A, Laliga Ligue 1 hizo ni zile kubwa duniani lakini pia kuna zingine kutoka nchini mbalimbali zitapigwa. Ligi ya Ufaransa Ligue 1 itaendelea wikendi…

Read More