
VIDEO:AHMED AICHAMBUA YANGA/NAFASI YA FEI/MORRISON
AHMED aichambua Yanga/nafasi ya Fei,Morrison
AHMED aichambua Yanga/nafasi ya Fei,Morrison
MSAFARA wa kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi leo Februari 14 unatarajiwa kuwasili Dar. Wawakilishi hao wa Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho Afrika walikuwa nchini Tunisia kwa ajili ya dakika 90 dhidi ya US Monastir. Ubao ulisoma US Monastir 2-0 Yanga hivyo wanarejea wakiwa na hasira kuelekea kwenye mchezo ujao dhidi ya…
NABI awachomoa mastaa kikosini Yanga, Chama, Baleke wakabidhiwa Waarabu ndani ya Spoti Xtra Jumanne
MSAFARA wa Simba umewasili salama Dar ukitokea nchini Guinea ulipokuwa kwa ajili ya kazi ya kuiwakilisha nchi kimataifa. Chini ya Kocha Mkuu, Roberto Oliveira kikosi hicho kilipoteza kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Horoya kwenye mchezo wa kwanza hatua ya makundi na kuyeyusha pointi tatu. Kazi kubwa kwa sasa ni kuelekea mchezo wao ujao ambao…
Ligi ya Mabingwa barani Ulaya (UEFA Champions League) inaendelea tena leo na kesho, ni muda muafaka wa kuzijua ni timu gani zitasonga mbele hatua ya 8 bora au robo fainali, Meridianbet kama kawaida wamejipanga kwa kutoa Odds kubwa na machaguo Zaidi ya 1000+ kwenye mechi zote za hatua ya 16 bora UEFA Champions League. Mechi…
BAADA ya kete ya kwanza kukamilika huku wakipoteza mchezo wao kikosi cha Yanga kimeanza safari kurejea Dar. Wawakilishi hao kwenye Kombe la Shirikisho Afrika walikamilisha dakika 90 na ubao ukasoma US Monastir 2-0 Yanga. Msafara wa wachezaji na benchi la ufundi unatarajiwa kuwasili nchini kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wao ujao dhidi ya TP…
BALAA zito kwenye benchi la ufundi la Simba wakitoka kuyeyusha pointi tatu katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika watakosa huduma ya kiungo wao mgumu Sadio Kanoute. Kazi kubwa itakuwa kwa benchi la ufundi kupasua kichwa kuamua wataanza na yupi kati ya Ismail Sawadogo, Mzamiru Yassin ama Jonas Mkude ikiwa atakuwa fiti. Kanoute alionyeshwa kadi…
IMEKUWA ni mwanzo mbaya kwa wawakilishi wa Tanzania kwenye anga za kimataifa katika Ligi ya Mabingwa Afrika ambapo mchezo wa kwanza imepoteza dhidi ya Horoya. Simba ambao wapo kundi C walikuwa wana kazi ugenini dhidi ya Horoya ambao nao walikuwa wanahitaji matokeo na tumeona namna ilivyokuwa hasa kwenye matumizi ya nafasi. Katika anga la kimataifa…
SIMBA imechambuliwa hivi kimataifa baada ya kupoteza mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Horoya Ligi ya Mabingwa Afrika
YANGA wafungukia ishu ya kichapo kimataifa
BAADA ya kupoteza katika mchezo wa hatua ya makundi dhidi ya Horoya ya Guinea Kwa kutunguliwa 1-0 msafara wa kikosi cha Simba unatarajiwa kurejea leo Dar. Ni mastaa 24 ikiwa ni makipa watatu Aishi Manula, Beno Kakolanya na Ally Salim kwa upande wa mabeki ni Shomari Kapombe, Israel Mwenda, Gadiel Michael, Mohamed Hussein, Henock Inonga,…
ROBERTINHO:Mtafurahi kwa Mkapa, Nabi:TP Mazembe nawajua, hawasumbui ndani ya Championi Jumatatu.
WAKIWA ugenini nchini Tunisia wawakilishi wa Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho Afrika wamepoteza mchezo wao wa kwanza hatua ya makundi. Dakika 90 ubao wa Uwanja wa Olympic Rades umesoma US Monastir 2-0 Yanga. Pointi tatu zimeyeyuka mazima ugenini kwa Yanga ambayo ilifanikiwa kwenye umiliki wa mpira muda wote huku wapinzani wao wakimaliza kazi ndani ya…
HAKUNA mbabe ndani ya dakika 90 baada ya kutoshana nguvu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara. Wakati Ihefu ikigawana pointi mojamoja na Singida Big Stars kwa kufungana bao 1-1 nyota Nivere Tigere penalti yake imeokolewa na mlinda mlango Benedict Haule. Mchezo huo umechezwa leo Februari 12 huko Mbeya,Mbarali. Ngoma Uwanja wa Highland ilikuwa ngumu kwa…
DAKIKA 45 za mwanzo zimemeguka ambapo ubao unasoma US Monastir 2-0 Yanga wawakilishi kutoka Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho Afrika. Ni Mohamed Saghroui dakika ya 10 na Boubacar Traore ilikuwa dakika ya 15. Djigui Diarra anatimiza majukumu yake akiwa ameokoa hatari moja iliyokuwa ni nafasi ya wazi kwa wapinzani wao kufunga ilikuwa dakika ya 12….
KIKOSI cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi ambacho kitaanza kwenye mchezo dhidi ya US Monastir ya Tunissia kipo namna hii:- Djigui Diarra Djuma Shaban Yannick Bangala Dicckson Job Kibwana Shomary Aucho Moloko Mayele Sure Boy Kisinda Aziz KI
REAL Madrid ni mabingwa baada ya kushinda kwenye mchezo wa fainali ya Kombe la Dunia la Klabu, wakilitwaa taji hilo mara tano wakiwa na rekodi tamu ya kusepa na taji hilo mara nyingi zaidi. Real Madrid ilipata ushindi wa mabao 5-3 dhidi ya Al Hilal ya Saudia ambao walikwama kutimiza malengo yao kwenye mtanange huo….