AZAM YAPOTEZA MBELE YA DODOMA JIJI

DODOMA Jiji wameibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Azam FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Jamhuri,Dodoma. Bao pekee la Azam FC limefungwa na Ayoub Lyanga ambaye alipachika bao hilo dakika ya 60 na kumfanya afikishe mabao mawili kwenye ligi. Ni Muhsain alipachika bao dakika ya 27 na Collins Opare…

Read More

SIMBA WAJA NA MTOKO WA FAMILIA

BAADA ya ushindi wa mabao 3-1 waliopata dhidi ya Singida Big Stars kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara, kesho Simba wanatarajia kumenyana na Al Hilal. Mchezo huo ambao Simba watajitupa kesho Uwanja wa Mkapa ni wa kimataifa wa kirafiki ikiwa ni maandalizi ya mechi za Ligi ya Mabingwa Afrika. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya…

Read More

MATHEO ANTHONY KUIKOSA RUVU SHOOTING

MATHEO Anthony, nyota wa KMC kesho anatarajiwa kuukosa mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ruvu Shooting. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Jamhuri,Morogoro saa 10:00 jioni. Sababu za nyota huyo kuukosa mchezo huo ni kutokuwa fiti baada ya kupata maumivu. Ofisa Habari wa KMC, Christina Mwagala amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo…

Read More

YANGA KAMILI KUIVAA NAMUNGO

KWENYE mchezo wa mzunguko wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Majaliwa, Namungo ilipoteza pointi tatu mazima hivyo leo ina kazi nyingine ya kujiuliza mbele ya Yanga.  Aziz KI kiungo mshambuliaji wa Yanga ambaye ni mtaalamu kwenye mapigo huru alikuwa sababu kwenye bao la kwanza lililowavuruga Namungo. Pigo lake la faulo akiwa nje kidogo ya 18 lilimshinda…

Read More