>

MUDATHIR ATANGAZA HALI YA HATARI YANGA

MARA baada ya kutambulishwa Yanga, kiungo mkabaji, Mudathir Yahya, amesema malengo yake ya kwanza ni kupambania namba ili aingie katika kikosi cha kwanza. Kiungo huyo ni mchezaji wa kwanza kusajiliwa na Yanga katika dirisha hili dogo la usajili lililofunguliwa Desemba 16, 2022 na kutarajiwa kufungwa Januari 15, 2023. Mudathir ana kibarua kigumu cha kuwania namba…

Read More

MBRAZIL AIFUMUA SIMBA, AWAWEKA MTEGONI MASTAA

KOCHA Mkuu mpya wa Simba, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ raia wa Brazil, amewaweka mtegoni mastaa wa kikosi hicho, baada ya kuweka wazi kwamba, mkakati wake wa kwanza ni kumpa nafasi kila mmoja kuonesha uwezo wake, ili kuwafahamu nyota wote na kuandaa kikosi cha kwanza. Juzi Jumanne, Robertinho alitangazwa rasmi kuwa kocha mkuu wa Simba akichukua nafasi…

Read More

BOSI SIMBA AMKATAA BOBOSI KISA YANGA

MENEJA wa Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally amefunguka na kusema kuwa katika dirisha hili dogo la usajili hawana mpango wa kumsajili aliyekua kiungo wa Klabu ya Vipers, Bobosi Byaruhanga. Akizungumza na Spoti Xtra, Ally alifunguka: ” Tunatarajia kuongea nguvu katika eneo la kiungo mkabaji ambaye atatusaidia kutimiza malengo yetu msimu huu. “Hatuwezi kumsajili Bobosi…

Read More

MASTAA YANGA WAPEWA MAAGIZO NA NABI

KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi amewapa maagizo mazito wachezaji wa timu hiyo ikiwa ni pamoja na Fiston Mayele, Aziz KI, Khalid Aucho na Dickson Job wakati huu wa mapumziko. Nyota hao ni miongoni mwa wale ambao watakosekana kwenye Kombe la Mapinduzi 2023 visiwani Zanzibar. Meneja wa Yanga,Walter Harrison amesema kuwa wachezaji wote wapo tayari…

Read More

YANGA WAKIWASHA KOMBE LA MAPINDUZI USIKU KABISA

WAKATI watani zao wa jadi Simba wakifungua mwaka 2023 kwa kunyooshwa na Mlandege kwenye Kombe la Mapinduzi, Yanga wao wameanza kwa ushindi. Katika mchezo wa ufunguzi dhidi ya KMKM uliochezwa Uwanja wa Amaan ubao uligoma kubadilika katika dakika 90 za kawaida. Ilibidi Yanga wasubiri mpaka dakika ya 90+5 na kupata bao la ushindi kupitia kwa…

Read More

SIMBA KWENYE KIBARUA KINGINE MAPINDUZI CUP

BAADA ya kupoteza mchezo wa kwanza wa Kombe la Mapinduzi 2023 mbele ya Kocha wa mpira, Roberto Oliviera kikosi cha Simba kina kazi nyingine ya kusaka ushindi kesho, Uwanja wa Amaan. Simba imevuliwa ubingwa kwa kutunguliwa bao 1-0 dhidi ya Mlandege kutokana na makosa ya safu ya ulinzi pamoja na ile ya ushambuliaji. Mpango mzuri…

Read More

KIUNGO WA KAZI AONGEZA MKATABA YANGA

KIUNGO wa Yanga Khalid Aucho ameongeza mkataba wa miaka miwili kusalia ndani ya kikosi hicho. Anakuwa mchezaji wa pili kuongeza dili mpaka 2025 ndani ya Yanga. Alianza kutangazwa Djigui Diarra kipa namba moja wa Yanga ambaye aliongeza mkataba katika kikosi hicho na kutangazwa Januari 2. Nyota huyo ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Nasreddine…

Read More

2022 IMEGOTA UKINGONI,2023 IWE YEYE FURAHA

TAYARI mwaka 2022 umemalizika na tumeingia mwaka 2023, kulikuwa na matukio mengi kwenye dunia ya soka mazuri na mabaya ambayo kwa kiasi kikubwa yaliibua mijadala mikubwa kwa wanafamilia wa mpira wa miguu nchini. Natarajia kuona mabadiliko makubwa kwenye soka letu katika nyanja zote kuanzia utawala, uendeshaji pamoja na utendaji ili tuendelee kuona soka letu likipiga…

Read More

YANGA KAMILI KUIKABILI KMKM

MCHEZO wa kwanza ndani ya 2023 Yanga itashuka Uwanja wa Amaan leo dhidi ya KMKM saa 2:15 usiku. Ni Katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi 2023 huku kocha msaidizi wa Yanga, Cedrick Kaze akibainisha kwamba wapo tayari kwa ajili ya ushindani.  Kaze amesema kuwa wanatambua ushindani ambao upo kwenye mashindano hayo kutokana na timu kujipanga….

Read More

MAPINDUZI YAFANYIKE MAPINDUZI YA KWELI

WAKATI mwingine kwa sasa kwenye Kombe la Mapinduzi 2023 ambapo kila timu shiriki inafanya kazi kubwa kwenye kusaka ushindi. Hakuna ambaye hapendi kupata matokeo mazuri kwenye mchezo ambao atacheza hivyo kwa sasa ni muhimu kupata ushindi. Ukweli ni kwamba wachezaji wamepata nafasi kwenye mashindano haya ambayo ni ya heshima na kila mmoja ana kazi ya…

Read More

SIMBA YATAJA SABABU YA KUTUNGULIWA NA MLANDEGE

GADIEL Michael, nahodha wa Simba kwenye kikosi kinachoshiriki Kombe la Mapinduzi ameweka wazi kuwa sababu zilizofanya wakapoteza mchezo wa kwanza ni kushindwa kutumia nafasi. Ikiwa Uwanja wa Amaan, ilishuhudia ubao ukisoma Simba 0-1 Mlandege baada ya dakika 90 kukamilika. Ikumbukwe kwama Simba walikuwa ni mabingwa watetezi wamemaliza mwendo katika hatua hiyo wakianza kutunguliwa mchezo wao…

Read More